Wamekataa mahari ya binti yao, tufanyeje?

Wamekataa mahari ya binti yao, tufanyeje?

Ujue hata mimi hilo swali lipo kichwani mwangu. Kwa issue sensitive kama hiyo, muoaji ulipaswa wewe mwenyewe uhangaike kufanya mawasiliano ili wakwe zako wajue. Halafu mlipanga tarehe mbadala peke yenu tu bila kuwajulisha ukweni! Hata mimi nasema hiyo ni dharau. Ushauri wangu, tuma washenga wako tena wakawatake radhi hao wanyalukolo maana wana hasira wanaweza hata kujinyonga kwa hasira(joke)r
Siyo wanyalukolo ni WABENA.
 
Söngea ulipotokea msiba ina maana hata huyo mchumba wako hakujua kuwa umefiwa awataarifu wazazi wake? Je wewe hukuwa na wazo la kutafuta namba zao kuwataarifu? Na kama kutoa taarifa kwa kutuma mtu ni heshima kwanini hamkumtuma mtu aende kwa ishu hiyo badala yake mkamwagiza mtu tuu ambaye alikuwa na safari zake, nazani ishu hamkuichukulia serious na wala siwalaumu hao wabena, tafuta mwafaka mkaombe msamaha kama ikishindikana basi mke sio liziki yako, uje uoe bombambili kuna watoto wazuri, wapo wengine mjimwema, majengo, lizaboni, mfaranyaki ndio kibao hadi matarawe, karibu uoe nyumbani bro.
 
Hii ngoma bado bichi hakuna kilicho vurugika hapo sema wazee nao lazima walete pozi kidogo usawa huu kuolewa ishakuwa zali.

aya tusubirie atupe feedback nadhani kaenda kuongea nao ndo maana hayupo sasa hivi... Junior Recture mambo yakiwiva naomba kuwa kwenye kamati kuu na mimi niwe mweka hazina naomba sana... muhimu sana nimeshikilia hilo
 
hivi inakuwaje mtu atumwe kupeleka habari ya muhimu kama hiyo halafu asahau?
we haukumwambia mchumba wako kuwa umefiwa akasaidia kufikisha taarifa?
kwani huko simu hawana?
mbona kama nashindwa kuamini
 
Piga mimba tu kijana, kama watamkubali au kumkataa mwanao
 
Hii kawaida sana kwa baadhi ya wazazi/wandugu wanapenda sana kuingilia mahusiano ya watoto zao
 
hadithi ya upande mmoja ...ngoja waje upande wa pili
 
Söngea ulipotokea msiba ina maana hata huyo mchumba wako hakujua kuwa umefiwa awataarifu wazazi wake? Je wewe hukuwa na wazo la kutafuta namba zao kuwataarifu? Na kama kutoa taarifa kwa kutuma mtu ni heshima kwanini hamkumtuma mtu aende kwa ishu hiyo badala yake mkamwagiza mtu tuu ambaye alikuwa na safari zake, nazani ishu hamkuichukulia serious na wala siwalaumu hao wabena, tafuta mwafaka mkaombe msamaha kama ikishindikana basi mke sio liziki yako, uje uoe bombambili kuna watoto wazuri, wapo wengine mjimwema, majengo, lizaboni, mfaranyaki ndio kibao hadi matarawe, karibu uoe nyumbani bro.

ngoja tusubiri uamuzi wa wazee wakanisa wapande zote mbili .....maana binti na mimi tupo huku mwanza.
 
kiukwel hata kama ingekuwa kabila lngne lazma wangekasirka, manake wamejiandaa then hawaon watu, we tulia kama ni wako utamuoa tu vngnevyo wakiendelea kukataa mwache Mungu atakupa wako
 
Kwanza wewe muongo..why mchumba wako asipeleke taarifa kwao au kwa nini haukupiga simu wala mshenge kupeleka taarifa..maana inaonekana huyo uliyemtuma mi mtu baki tu sio mshenga..kwa kifupi wewe ni muongo na kama kweli basi huna adabu kwa wakwe zako na hufai kuoa..oa binamu zako au dada zako.mxxxxx
 
Kwanza wewe muongo..why mchumba wako asipeleke taarifa kwao au kwa nini haukupiga simu wala mshenge kupeleka taarifa..maana inaonekana huyo uliyemtuma mi mtu baki tu sio mshenga..kwa kifupi wewe ni muongo na kama kweli basi huna adabu kwa wakwe zako na hufai kuoa..oa binamu zako au dada zako.mxxxxx

wewe kumbe ni tahira...kama hauja elewa ni bora unge sema ukaeleweshwa kuliko kubwatuka utaira wako hapa.....k*******
 
Back
Top Bottom