Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 913
- 585
- Thread starter
- #21
basi puliza puto
ndo kufanye je?
basi puliza puto
umesema?
huyu binti namshauri wala asirudiane nae... dalili za mvua ni mawinguHapo binti ndiye ana nafasi ya kwanza kuwasihi wazazi wake lakini pia nanyi sasa mtume ujumbe wa kuomba radhi kwa yaliyotokea as long as mambo ya kuoana si kuleta uadui bali udugu!!
Bado suluhu ipo unless huyo binti hana mpango na wewe so atakubali kuondoka kwako bila kujitahidi kutaka suluhu.
unaupungufu wa mawasiliano mkuu... mkuu kuna mambo najiuliza uhusiano wako na binti ukoje kiasi kwamba ashindwe kujua kuwa umefiwa? je ulikuwa huna namba hata ya mama mkwe mtarajiwa na kutoa taarifa mapema kuwa umefiwa na si kumtuma mtu manual? kilichokufanya wewe ushindwe kutoa taarifa ni nini?
hata mimi nina wasi wasi ya kuwa wewe na familia yako mnadharau sana tena s kidogo.... kumbuka siku ya mahari yawezekana walijiandaaa hata kwa chakula kidogo na kuita wanaukoo na marafiki huku wakiwasubiria na ninyi amkufika imagine hali waliyokuwa nao .... mkuu jiongeze katika maisha kitu TAARIFA ni muhimu sana ,... jiongeze unasimu jua namna ya kuitumia mkuu
Kama nilivyo kwambia,endelea kuwasikiliza hao mapimbi itakula kwako.
huyu binti namshauri wala asirudiane nae... dalili za mvua ni mawingu
au wazazi wanataka ng'ombe 90
kiukweli kabisa suala la mahali likuwa mikononi mwa wazazi wangu....
Pia na dhani hauja wahi kufiwa au kuona mtu aliye poteza fahamu aku kuchanga nyikiwa kutokana na kufiwa.
Yote mema chagga naamini lililo pangwa na mungu binaadamu hawezi li tambua...cm hizihizi ndo zina vunjaga ndoa nyingi.
Kwa nini??
that great sweet heart... wnaona kwa kuwa tunaenda olewa ndo tuwe kama majingakweli unampenda i hope huo ukoo na huyo msichana watalitambua hilo na kulizingatia, manake wanaume wa leo hii walivyo umletee mapozi ya hivyo mbona ndo kwanza atashukuru na kupata sababu ya kusepa. Ila nikikumbuka siku ya mahari yangu maandalizi yaliyofanyika alafu ingetokea upande wa mwanaume wasingetokea sijui ingekuaje, wana haki ya kukasirika
kweli unampenda i hope huo ukoo na huyo msichana watalitambua hilo na kulizingatia, manake wanaume wa leo hii walivyo umletee mapozi ya hivyo mbona ndo kwanza atashukuru na kupata sababu ya kusepa. Ila nikikumbuka siku ya mahari yangu maandalizi yaliyofanyika alafu ingetokea upande wa mwanaume wasingetokea sijui ingekuaje, wana haki ya kukasirika
tafadhari ushauri wako ni tiba kwangu ..kwetu suala la kuzira mahali si suala la kawaida ni suala
nyeti enzi za utawala wa mwinyi makabila yana pigana kabisaa...naomba nieleweshe hata pm ungekuwa karibu ninge kutafuta unipe undani wa wabena ....maji shingono ndugu tafadhari.
unaupungufu wa mawasiliano mkuu... mkuu kuna mambo najiuliza uhusiano wako na binti ukoje kiasi kwamba ashindwe kujua kuwa umefiwa? je ulikuwa huna namba hata ya mama mkwe mtarajiwa na kutoa taarifa mapema kuwa umefiwa na si kumtuma mtu manual? kilichokufanya wewe ushindwe kutoa taarifa ni nini?
hata mimi nina wasi wasi ya kuwa wewe na familia yako mnadharau sana tena s kidogo.... kumbuka siku ya mahari yawezekana walijiandaaa hata kwa chakula kidogo na kuita wanaukoo na marafiki huku wakiwasubiria na ninyi amkufika imagine hali waliyokuwa nao .... mkuu jiongeze katika maisha kitu TAARIFA ni muhimu sana ,... jiongeze unasimu jua namna ya kuitumia mkuu
Mkuu waachie binti yao wamuoe wenyewe! Ya nini kupasua kichwa,?