CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,076
mindo dume mwenye msimamo sibaba iki..na vjembe vya kisenge..kamalibinti lao walikatalie tu ...wakuoa wapo wengi yaani sitetereki mpaka sasa hivi naendelea kula maisha na binti yao na wasipo angalia hiyo mahali wata ikosa kabisa......kwanza mahali ndo utumbo gani kama sio biashara haramu ya bina damu..kama ni vita na ubishi kwa mngoni mmegonga mwamba.
Hii comment yako ulivokuwa unaitoa ulikuwa sane mkuu?!!!