kiraia
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 1,716
- 999
Ukimaliza kuisoma sms ya namna hiyo DELETE..
No hii msg tunaomba uitunze vyema inaweza tumika kama Ushahidi hapo mbeleni, siku sii nyingi watavuna walichopanda
Ukimaliza kuisoma sms ya namna hiyo DELETE..
Nikiwa nimelala. Joto kali. Umeme hakuna. Nimeoga maji ya chumvi. Ya kunywa nanunua ndoo sh.600. Kero.
Mara napokea hii crap kutoka kwa namba ambayo ata siijui:
"WANANCHI TAFADHALI, WAKUJENGA NCHI NI SISI NA WA KUBOMOA NI SISI, TUNAPODAI HAKI PIA TUTIMIZE WAJIBU, MIGOMO NA MAANDAMANO KILA KONA NI SULUHU YA MATATIZO? TUSILAUMU JESHI LA POLISI, TUACHE SIASA ZA MIGOGORO NA KUTAFTA UMAARUFU, UCHAGUZI UMEPITA, TUKUBALI UKWELI"TUMA KWA WATU 10.
MY TAKE:
Hakuna haki bila wajibu; hakuna wajibu bila haki
There is nothing wrong with the message. kwani shida hizo zimeanza leo? so tangu awamu ya kwanza. why freak out now?
There is nothing wrong with the message. kwani shida hizo zimeanza leo? so tangu awamu ya kwanza. why freak out now?
Tujitulizeni jamani akilini, tuongeze taabu zetu kama taifa na maombi kwa Mwenyezi Mungu na wadhalimu wetu wote watadondoka kiajabuajabu tu na wengi wetu wala tusiweze kuamini kama ni kweli.
Inakubidi Ng'wanangwa ukubali tu! Maana wanaona kana kwamba wewe ndio mtuma meseji na si kwamba umetumiwa!!umenena vyema mkuu.
lakini hapo kwenye red naona unanipa 'za uso' bure tu. unanionea mkuu.