NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Ni wazazi wawili, mke ni mhasibu taasisi ya kiserikali, mme ni engineer, kielimu wapo vizuri kuna moja aliweza kusoma masters yake nje ya nchi na mwingine ni hapa hapa bongo ila ana elimu kubwa. Mtoto walie nae ni moja tu yupo darasa la saba.
Sababu kuu ya kuwa na mtoto moja ni mke kutotaka mimba kumuharibia malengo yake ya career / ofisini, inabidi awe anaenda kazini kila siku za kazi.
Wazazi ni wasomi na wapo focused sana na career zao, mtoto wanamjali sana katika masomo yupo moja ya shule poa sana, ni ya day ila ada yake imechangamka.
Lakini je hii ni sawa kwa mtoto wa kiafrika kutokuwa na kaka, dada ama wadogo zake ?
Sababu kuu ya kuwa na mtoto moja ni mke kutotaka mimba kumuharibia malengo yake ya career / ofisini, inabidi awe anaenda kazini kila siku za kazi.
Wazazi ni wasomi na wapo focused sana na career zao, mtoto wanamjali sana katika masomo yupo moja ya shule poa sana, ni ya day ila ada yake imechangamka.
Lakini je hii ni sawa kwa mtoto wa kiafrika kutokuwa na kaka, dada ama wadogo zake ?