Walokole wengi nuksi sana

Walokole wengi nuksi sana

Makanisa mengi sana yamekuwa na changamoto za kuwatenga watu kama kwenye jumuhia usipoenda unatengwa.
 
Kama ni hivyo mbona akuna neno mlokole au ulokole kwenye biblia acha wehu wewe yesu alikuja ili watu wawe watakatifu siyo walokole nyinyi ndo mnawaita watu wawe walokole mbona uelewi wewe boya utaelewaje wakati ni mlokole = unafiki + usukule
Iko siku utajuta kwa kunitukana
 
Bora Masanja anavyo wakusanya na kujikusanyia ela ya sadaka na hope very soon ataongeza Masanja 2 (BW) ya Monika
Hata awe na magari elfu, kumbuka kwamba ufalme wa Mungu haumo katika uwingi wa vitu mtu alivyo nanyo. Ni kujilisha upepo tu
 
Humu wengi watabisha,ila ukweli utabaki kuwa hivyo,walokole wanakiburi sana,wanajiona hapa duniani ndiyo wameshafika mbinguni,tunaye mmoja mtaani hapa,hata salamu hakuna,ukimsalimia anakausha,akiitikia husikii kama kaitikia.
Ukiona mlokole anakuchangamkia,ujue ana mpango wa kukushawishi na wewe uwe mlokole kama yeye.
 
Kitu cha ajabu kwenye makanisa ya walokole kila mtu ana pepo ?

Mambo ya ajabu sana, au ni usanii unaendelea pale makanisani kwao.
Nazani ujui maana ya ulokole ungejua usinge uliza swali hilo
Ulokole ni usekule+,unafiki .ulokole chanzo chake ni chetani
Bali utakatifu chanzo chake mungu

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa nawakubali sana walokole lakini hawana maana kabisa Majungu wao,unafki wao,wanajiona watakatifu kuliko wenzao.

kama haujaokoka wanakuona kama takataka vile wanakutenga,kwenye mikesha ya vijana wanagegedana c mchezo.

NB: Matusi sitaki tafadhali
Nafikiri c jambo jema kutukana dhehebu au dini ya mwenzio kwa sababu ukimtukania dini/dhehebu lake naye atakutukania dini/dhehebu lako.
 
Mtoa mada inaonyesha alikua mlokole baada ya kufukuzwa amekuja kuwateta huku...
Swali: uliwaona wanagegedana.. Au na ww ulikua unagegeda kanisan ndo maana wakakutimua ??
Kwann hukuwapelekea haya malalamiko kwa wachungaji wahusika ??

Acha unafiki rudi kanisan utubu utasamehewa
Haha hapo umemmaliza kabisaa....
Hata hivyo watu wanapaswa kufahamu hao waitwao walokolr si malaika!
 
Mtoa mada inaonyesha alikua mlokole baada ya kufukuzwa amekuja kuwateta huku...
Swali: uliwaona wanagegedana.. Au na ww ulikua unagegeda kanisan ndo maana wakakutimua ??
Kwann hukuwapelekea haya malalamiko kwa wachungaji wahusika ??

Acha unafiki rudi kanisan utubu utasamehewa
Asante!
 
Hutaki matusi wakati ww unatukana wenzio?!
Kuna binti wa kilokole kakukataa ndo maana unawaona nuksi?


Who are you to judge?

Ww lzm ulikuwa mlokole ukaharibu ss unataka wote waonekane wabaya wakati shida ni ww!

Km wanafanya hayo waache,watajibu kwa muumba wao wanaemdanganya ww hayakuhusu!
 
Inategemea umekutana na walokole wa wapi! Walokole wengi wa makanisa ya Kipentekoste na Assemblies of God ndio wana nyodo sana. Wao hupenda kujiona ni bora kuliko watu wengine. Ila ukikutana na walokole wa Lutheran au Wakatoliki huwa ni watu poa sana...
Walokole wakatoliki wapoje hao???
 
Humu wengi watabisha,ila ukweli utabaki kuwa hivyo,walokole wanakiburi sana,wanajiona hapa duniani ndiyo wameshafika mbinguni,tunaye mmoja mtaani hapa,hata salamu hakuna,ukimsalimia anakausha,akiitikia husikii kama kaitikia.
Ukiona mlokole anakuchangamkia,ujue ana mpango wa kukushawishi na wewe uwe mlokole kama yeye.
 
Me mgeni, Samahani mkuu neno "kugegeda" lina maana gani, Tafadhali sana
 
Back
Top Bottom