Waliosoma sayansi hawafai kuwa marais

Waliosoma sayansi hawafai kuwa marais

ndugu yangu hilo mbona liko wazi kabisa,unadhani civil engineer ana haja sana ya kujua ulimwengu wa kisiasa au ataspend muda mwingi kwenye mambo yao ya engineering.waliosoma sanaa au sheria wanauwezo wa kujenga hoja vizuri zaid kuliko wenzao wa sayansi hilo liko wazi

Hahaaa wewe jamaa unachekesha sana aisee.

Kwani mtu akiwa civil engineer ndo hawezi ku keep up na current events?

Kinachomzuia ni kitu gani?

Hoja ya kijinga kabisa hiyo.
 
Angela Dorothea Merkel[a] (born 17 July 1954) is a German politician and former research scientist. Merkel has been the Chancellor of Germany since 2005, and the leader of the Christian Democratic Union (CDU) since 2000.

Having earned a doctorate as a physical chemist, Merkel entered politics in the wake of the Revolutions of 1989, briefly serving as a deputy spokesperson for the first democratically-elected East German Government in 1990. FollowingGerman reunification in 1990, Merkel was elected to the Bundestag for Stralsund-Nordvorpommern-Rügen in the state of Mecklenburg-Vorpommern, a seat she has held ever since. Merkel was later appointed as the Minister for Women and Youth in 1991 under Chancellor Helmut Kohl, later becoming the Minister for the Environment in 1994. After Kohl was defeated in 1998, Merkel was elected Secretary-General of the CDU before becoming the party's first woman leader two years later in the aftermath of a donations scandal that toppled Wolfgang Schäuble.
 
stupid baba yako yaani katika marais 44 umeokota huyo mmoja tu agagagagag

scientists are few...mangwini wako kibao

ushaona interview ya wahandisi au wakemia inakuwa na watu elfu saba kama zilenza uhamiaji?

umechemsha
 
eti umetumia akili

TZ nani anasoma science au arts kwa kupenda?

many arts wlitamani wawe scientists ila uwezo na mazingira mabovu ya shule

no one ever born in TZ alitaka kuwa alivyo...
 
arts????nayo utajikuta unaigawa sana tu ha ha ha ..kwa hawa tunaowaona? mashoga wengi ni arts pia
 
any one at any time can make good leader...UDSM had prof.eng. luhanga....revolution took place, they have mkandala now....kaone vituko
 
any one at any time can make good leader...UDSM had prof.eng. luhanga....revolution took place, they have mkandala now....kaone vituko
kweli hujaona revolution za mkandala ,umeona majengo yalivyoota kama uyoga ,sema tu kajamaa kabepari tu
 
wacha ushamba
chancellor Merkel amesoma physics au una sumbuliwa na .. Uache rais wetu kipenzi ya walio wengi achape kazi.
 
Kikwete alikuwa scientist?
ana GPA ya ngapi yule mi namuona kama form six leaver tuzamani UDSM pale coet wakiita FOE wanafunzi wa kule walikuwa makauzu hata kama ni msichana anakuwa kama dume akitoka pale akisema mi injinia unasema kweli huyu mhandisi siku hizi masista duu wa udsm wanashinda saloon mwenge ukimuliza kozi yake anasoma civil engineer
 
wacha ushamba
chancellor Merkel amesoma physics au una sumbuliwa na .. Uache rais wetu kipenzi ya walio wengi achape kazi.
hakuna sehemu ametajwa rais wa tanzania hapo ujue
 
Mtayasema mpaka midomo iwachongoke mara hii. Naamini mkishamaliza hili hamtatulia bali mtakuja na lingine ilimradi ubaguzi wenu udhihiri wazi. Mbegu hii ya ubaguzi ni mbaya sana aisee. Mlimnanga JK kwamba alisoma akatoka na GPA mbovu leo mmemgeukia huyu, siasa ya hivi ni upuuzi wa kiwango cha ujuha.
 
ana GPA ya ngapi yule mi namuona kama form six leaver tuzamani UDSM pale coet wakiita FOE wanafunzi wa kule walikuwa makauzu hata kama ni msichana anakuwa kama dume akitoka pale akisema mi injinia unasema kweli huyu mhandisi siku hizi masista duu wa udsm wanashinda saloon mwenge ukimuliza kozi yake anasoma civil engineer


unajikamata....utaanza kuwabagua kwa GPA sasa....ubaguzi hauishi...utaendelea kwa dini na makabila yao

utamalizia kwa maumbile yao aidha warefu wa wafupi


kazi unayo mkuu

at least ume gain

acha ubishi..maada imekulemea hii
 
Naunga mkono hoja Tanzania kwa miaka 20 hatuna Rais! Full Auto Pilot.......aliepo sasa naona ni robot fulani....asiye na fikra busara w brain! Anajifunza kila kitu uzeeni!!
 
Mleta maada ameleta makusudi hata hivyo kwa kuchagua USA. USA haina demokrasia kivile kama mleta maada anavyoamua kutuaminisha. USA kwa mfano kuna vi establishment nk. Hivyo kama hawa watu wamwanzo walikuwa wamesoma law ama economics basi kakindi kao katakuwa ka muelekeo huo huo. Marekani wale wayahudi wanaomiliki ma bank ndo wana influence kubwa ktk kuamua myahudi yupi awe rais wa USA.

Ni logically, wayahudi wanaomiliki ma bank wawe na ushirika na mtu aliyesoma ma physics ama ma chemia.

Sasa mleta maada, unataka pia kutuambia kule Qatar, UAE, Saudia wamendelea sana kwa sababu ni ule ukoo wa kifalme ndo una uwezo wa kuongoza na kutoa maamuzi sahihi? Ama ni kwa sababu tu ilitokea pale mwanzo huo ukoo ukapata chansi na ku retain hiyo status?

Na pia ungefanya sampling vizuri kwa nchi nyingi ukizingatia , number zao against wengine.
 
Mwanasayansi hata kuiongoza ndoa kwako ni kero kubwa kwasababu mara nyingi hawawezagi swaga ktk maisha yao
 
Back
Top Bottom