lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,214
- 28,133
We ndio umeandikaje hivyo??..Yaaan nyie ndorobo ata mwaka bdo mxhaanza ikilu mtaixkia tu mpk cham chafa
Unafikiri hapa ni Facebook??
We ndio umeandikaje hivyo??..Yaaan nyie ndorobo ata mwaka bdo mxhaanza ikilu mtaixkia tu mpk cham chafa
Mkuu kwani ofisi ndiyo nini?,kinachotazamwa ni utendaji wa kilichokusudiwa,kama Ccm ina ofisi nzuri lakini asilimia kubwa watu hawana jipya kwa Wananchi,hata Wabunge wake hawajui kujenga hoja na kila kitu ni ndiyo na siyo ajabu Mbunge mmoja ni sawa na Wabunge watano wa CcmHata waliosomea U DJ kama Mbowe hawafai kuongoza hata chama.
Ameongoza chama kwa miaka 20 lkn hakina hata ofisi nzuri
Ni kweli mkuu wamo wamo ila siyo asilimia kubwa,ni wa kuhesabujibu ni ndio ,ukimbahatisha ni mmoja katika mia
Sawa mkuu bas ngoja ntaandika kijamii forumusWe ndio umeandikaje hivyo??..
Unafikiri hapa ni Facebook??
ahaaaaaa si ipo kuwait? Au am a politicians?????? Hapa ni kazi tuuu!sasa mtu hujui hata Libya iko wapi katika ramani ya dunia utaongea nini kwenye mikutano ya marais wenzako huko UN
Libya si ipo Kuweiti mdausasa mtu hujui hata Libya iko wapi katika ramani ya dunia utaongea nini kwenye mikutano ya marais wenzako huko UN
Yule jamaa wa Darasa la SabaKwa maoni yako nani angefaa kuwa rais ktk wagombea wa mwaka jana
tunaongelea nchi mkuu,kumbuka hata baba J hajawahi kuwa hata kiongozi wa nyumba kumi kumi hakijui chama
Donald Reagan alikuwa mcheza sinema kaiongoza Usa kwa ufanisi mkubwa. Shwazinega Gavana.Hata waliosomea U DJ kama Mbowe hawafai kuongoza hata chama.
Ameongoza chama kwa miaka 20 lkn hakina hata ofisi nzuri
kweli mkuu naunga mkono hoja wanafunzi wa siku hizi kama amnasoma sociology ni huko huko ataki kujua kidogo kuhusu sheria au kuhusu sayansi japo ya sayari,au uchumi japokwa kiasi kidogo,anakuwa kafngwa ndani ya box la fani yake ,nje ya pale ni galasaTatizo si sayansi wala arts.
Tatizo wahitimu wa vyuo na wahadhiri hawapo well rounded.
Hatuna utamaduni wa kujisomea. Unakuta mhadhiri wa uchumi hajui hata The Economist, FT ni nini..
Tusitoe kauli kwa jumla kwamba watu fulani hawafai. Mfumo wetu wa elimu ni hivyo sana. Unatia aibu. Haumfanyi mtu kuwa curious, kuuliza vitu, kujisomea, kujadili kwa hoja.