Malpungulwa
Member
- May 6, 2020
- 7
- 3
Hatari kubwa hiyoBinafsi wahitimu wa Kilimo na Mifugo naona kama haitendei haki nchi. Wanamaliza vyuo wengi wao hata kutengeneza tuta la mchicha wanazidiwa na wale wamama wanaozalisha mchicha Bonde la Msimbazi na pale Nyuma ya urafiki Dar. Ukimpeleka shamba ni shida kwa walio wengi.