Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 614
Wakati Wajumbe watatu wa Kamati ya Richmond, Stela Manyanya, Lucas Selelii na Mohamed Mnyaa, wako Marekani na tayari wameshapita DC ubalozi na leo wanaelekea Texas kuonana na kina Gire, kupeleka mashahidi wa uongo wakiwa chini ya kiapo, gazeti la Tanzania Daima ambalo halijawekwa katika internet limesema kwamba kuna mashahidi wametengenezewa ushahidi kabla ya kwenda ktk kamati na kwamba waliandaliwa na ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Nishati na Madini.
Sasa kamati imebidi iongezewe muda hadi Desemba 31....
Sasa kamati imebidi iongezewe muda hadi Desemba 31....