Nimefanya mahojiano na Dr. Mwakyembe muda mfupi uliopita na amejibu baadhi ya maswali ambayo watu wanayo.. MoD.. unaweza kuiunganisha hii na ile ya Halisi kuhusu "Breaking News - Kamati ya Richmond BALAA". Nitawawekea mahojiano hayo muda si mrefu ujao bila ya kuya edit, cut au mixing.. !
Unatuwekea wapi? KLH News ama Bongo Radio? Naomba pia uwe specific na time ili wale tulio online tuweze kuwahi kusikiliza matangazo hayo.