ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,821
Jamani Kama nyie hamkataki nipeni Mimi kosa lake nitakasamehe ila mgoni wangu kampuni ya mirinda wanilipe shilingi million 12
Ila mabint wa vyuo wamekua malaya sanaNalaani kitendo kilichofanywa na askari wa Jeshi la Polisi kumwita mtuhumiwa ofisini kwao nakumkalisha chini Kisha kumpiga picha nakuzisambaza. Hii siyo sahihi kabisa, sidhani kama watoto wao wanapotuhumiwa au watoto wa viongozi wanapokengeuka tunawafanyia hivi.
Lakini jambo la pili huyu mtoto ni mhanga wa ukatili unaofanywa na wanaume na watu wenye fedha, badala tutafute waliomrubuni tunakwenda kumdhalilisha na kumwaribia future yake. Hii siyo kazi ya Serikali. Mhanga wa matukio ya kialifu analindwa Duniani kote, udhalilishaji wa mtuhumiwa ni kinyume kabisa na Haki za binadamu.
Tulitegemea Jeshi liwe mfano wa kukemea picha zisizofaa wao ndio wanasambaza. Matokeo yake watoto wengi ambao wajapevuka kama alivyo mtuhumiwa wanaweza kutafuta umaarufu kwa kufanya matendo haya nakutegemea dola isambaze taarifa zao wafahamike Duniani.
Sijawahi kuona polisi Zanzibar wakipiga picha watu wanaotuhumiwa kuishi kinyume na maadili na kuzisambaza, aaskari bara mnafundishwa wapi ukatili na ya policing?Wapi nafasi ya dawati la jinsia?
Wacha we
Ukikaona mliman pale samaki samaki unajua umeopoa kifaa kumbe chupa ya mirinda imedumbukia kisimani mwake
😋😋😋ni kweli bro chupa ilikua inashindwa kabisa kuingia, maana ake mtoto hajatumika sna huyuHakuna kosa lisilosameheka katoto Bado kazuri halafu chupa haikuingia yote acheni porojo.mbona wale baikoko walikua wanakalia chupa za bia mmesahau? naombeni haka katoto Kama kakifukuzwa kwao
Hahahaha. Nahis ndo kinachofuata baada ya kutoka hospitalKama mtoto akifukuzwa chuo na pia akafukuzwa na wazazi na ndugu zake, mie ninajitolea kumlea na kumsomesha chuo kingine kama mzazi mwenye huruma na upendo
Mmeanza kumtetea ili aonekane hana hatia , kampeni hizi siziungi mkono. Vijana wengi maadili hawana na ujuaji ni mwingi.Sheria ichukue mkondo wake kama ili desturi yake.Sina shaka alikuwa na Nia ya kuisambaza kwani ni muda umefika ndo maana tumeiona.Wakati ndo hakimu wa kweli, alikusudia kwani pia anaonekana alijirekodi huku akiwa na furaha TeleNalaani kitendo kilichofanywa na askari wa Jeshi la Polisi kumwita mtuhumiwa ofisini kwao nakumkalisha chini Kisha kumpiga picha nakuzisambaza. Hii siyo sahihi kabisa, sidhani kama watoto wao wanapotuhumiwa au watoto wa viongozi wanapokengeuka tunawafanyia hivi.
Lakini jambo la pili huyu mtoto ni mhanga wa ukatili unaofanywa na wanaume na watu wenye fedha, badala tutafute waliomrubuni tunakwenda kumdhalilisha na kumwaribia future yake. Hii siyo kazi ya Serikali. Mhanga wa matukio ya kialifu analindwa Duniani kote, udhalilishaji wa mtuhumiwa ni kinyume kabisa na Haki za binadamu.
Tulitegemea Jeshi liwe mfano wa kukemea picha zisizofaa wao ndio wanasambaza. Matokeo yake watoto wengi ambao wajapevuka kama alivyo mtuhumiwa wanaweza kutafuta umaarufu kwa kufanya matendo haya nakutegemea dola isambaze taarifa zao wafahamike Duniani.
Sijawahi kuona polisi Zanzibar wakipiga picha watu wanaotuhumiwa kuishi kinyume na maadili na kuzisambaza, aaskari bara mnafundishwa wapi ukatili na ya policing?Wapi nafasi ya dawati la jinsia?
Milioni Saba kwa mtu anayejitia chupa kund*ni yake hadharani? Je hizo ambazo hajasambaza zitakua namna gani?Alafu utakuta akipata bwana baba ake anataka alipwe milioni saba za mahari!
Muwafundishe mabinti zenu kuacha tamaa za hela 😅 lasivyo tutawanyoosha kama hivyo yani!Mimi kama mzazi nalaani hili tukio. Jamani tunaoshabikia haya leo siku tukija kuona picha za mabinti au vijana wetu tushabikie hivi hivi.
Na wewe ni mzaz kama bado utazaa. Unafikiri yale maovu uliyokua ukifanya hukua ukikatazwa na wazazi wako? Hakuna mtaalamu wa malezi ndio maana unasikia siro na ubabe wake mtoto wake anaokotwa kny mifereji kwa uleviMuwafundishe mabinti zenu kuacha tamaa za hela lasivyo tutawanyoosha kama hivyo yani!
Huu ni mwanzo tu!!!