Barakate I have
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 736
- 650
Mama yangu mieeeeeKumbe pale polisi ndo walikuwa wanamrekodi
Mama yangu mieeeeeKumbe pale polisi ndo walikuwa wanamrekodi
Kuna mtu alimdanganya atampa milioni 3.baada ya hapo aliporekodi akamtumia Yule jamaa.yule jamaa hakumpa hyo hela akawatumia hyo video marafiki zake huku bongo.wale marafiki zake wakamfuata huyo dada na kumwambia Wana video yake awape laki 6 wasivujishe akawapa alafu jamaa wanamuomba na MZIGO wakala na bado wakavujisha.Nifuatilie kisa kipi!!?? Nimemuona binti asiye na akili akichukua sim yake na kujirekodi akiingiza chupa njia ya haja kubwa, kuna kisa kingine zaidi ya hicho!!???
Hapana sio utapeli. Yaani mkubaliane kuuziana bangi halafu ukidhulumiwa uende kuripoti polisi kwamba umedhulumiwa bangi???Kuna mtu alimdanganya atampa milioni 3.baada ya hapo aliporekodi akamtumia Yule jamaa.yule jamaa hakumpa hyo hela akawatumia hyo video marafiki zake huku bongo.wale marafiki zake wakamfuata huyo dada na kumwambia Wana video yake awape laki 6 wasivujishe akawapa alafu jamaa wanamuomba na MZIGO wakala na bado wakavujisha.
Hauoni Kama NI utapeli huo kafanyiwa?
Sawa amejirikodi kwa simu yake kwani aliidhinisha isambazwe?Mtu kajirekodi kwa sim yake unamtafuta msambazaji yupi!!????
Mbona hao waliomgonga na kumlia hela zake laki 6 .Alone na sio utapeli. Yaani mkubaliane kuuziana bangi halafu ukidhulumiwa uende kuripoti polisi kwamba umedhulumiwa bangi???
He angelipwa hiyo milioni tatu angelalamika au ungesema ni utapeli?
At the end of the day walikubaliana on illegal contract, huwezi kumtetea huyo ni Malaya tu. Yaani ujiingize chupa upewe milioni tatu na zikiisha utaingiza nini Tena after all milioni tatu ni pesa ya simu tu.
Hicho ni kimalaya huu uteyezi ni wa kitoto sana. Mashenzi tu huyo mtoto yaani urushe picha za uchi kwa milioni tatu?
Wasichana wote wanaphangaika kuuza hata dawa za forever living unadhani hawaoni hiyo option ya kuuza utupu wao??? It's about dignity.
Hakuna uteyezi anaweza kuutoa kujustify ushenzi alioufanya yeye la msingi afocus kubadilika tabia naa aache tamaa maana muda wote kapo na picha za kwenye magari ya watu tu, tamaa mbaya.
Anaringishia magari ya watu in exchange ya umalaya halafu mtu uje kumtetea??? No way.
Bahati mbaya ni kwamba hii transaction nzima it was clouded with illegality lakini alikuwa na option ya kuwaripoti polisi maana hao ni stalkers na wamefamya ubakaji.Mbona hao waliomgonga na kumlia hela zake laki 6 .
HAUWASEMI?
hayo makubaliano yao wenyewe.
Nina chomuonea huruma Mimi kutapeliwa hela zake na kuliwa mzigo naona wamemtapeli na video wamezisambaza.
Sina tatizo na kitendo alichofanya maana ni makubaliano yao.
Katili ni aliyesambaza au aliyerekodi? Kujirekodi ndio kumesababisha yote haya ndio maana unaona kakamatwa aliyejirekodi kwa hiyari yake. Asingefanya hilo tendo wasambazaji wasingepata cha kusambaza. Mtuhumiwa namba 1 ni huyo binti.
Sijui unanielewa?
Bahati mbaya ni kwamba hii transaction nzima it was clouded with illegality lakini alikuwa na option ya kuwaripoti polisi maana hao ni stalkers na wamefamya ubakaji.
Kabla ya yote angewaripoti angekuwa kwenye usalam sababu kuhusu kupiga picha huwa sio kosa kama ni umejipiga for personal uses kibaya ni hiyo ya kupiga picha in exchange of money.
Sasa lazima tukubaliane kwamba mshaywa dhambi ni mauti, huyu msichana haya yote ameyataka yeye kwa tamaa zake maana kitendo Cha kukubali kufanya illegal transaction in exchange of money at the first place unaona kabisa huyu ni bingwa wa tamaa kubwa sana na yupo tayari kufanya anything for money.
Ndio maana nasema wa kwanza kulaumiwa ni yeye mwenyewe she is the author of her own story then hao wengine ndio wanafuata.
Sheria ndio inamfunga hapo yaani unless uwe umepigwa na mtu ila kujirekodi ni kwamba umesababisha ivuje. Refer kesi ya Wema Sepetu na Amber Ruttyyeye hana kosa, na hawawezi kumfungulia mashitaka ya aina yoyote, hapo kituoni watamhoji kutaka kujua ilikua ikasambaa.
Narejea tena kujirekodi video sio kosa, Kosa ni kuisambaza.
Kuna watu kila siku tunakula nyeto.yeye hana kosa, na hawawezi kumfungulia mashitaka ya aina yoyote, hapo kituoni watamhoji kutaka kujua ilikua ikasambaa.
Narejea tena kujirekodi video sio kosa, Kosa ni kuisambaza.
Acha kutetea ujinga, amejirekodi mwenyewe na alikuwa anahaha kuweka kamera vizuri kabisaNalaani kitendo kilichofanywa na askari wa Jeshi la Polisi kumwita mtuhumiwa ofisini kwao nakumkalisha chini Kisha kumpiga picha nakuzisambaza. Hii siyo sahihi kabisa, sidhani kama watoto wao wanapotuhumiwa au watoto wa viongozi wanapokengeuka tunawafanyia hivi.
Lakini jambo la pili huyu mtoto ni mhanga wa ukatili unaofanywa na wanaume na watu wenye fedha, badala tutafute waliomrubuni tunakwenda kumdhalilisha na kumwaribia future yake. Hii siyo kazi ya Serikali. Mhanga wa matukio ya kialifu analindwa Duniani kote, udhalilishaji wa mtuhumiwa ni kinyume kabisa na Haki za binadamu.
Tulitegemea Jeshi liwe mfano wa kukemea picha zisizofaa wao ndio wanasambaza. Matokeo yake watoto wengi ambao wajapevuka kama alivyo mtuhumiwa wanaweza kutafuta umaarufu kwa kufanya matendo haya nakutegemea dola isambaze taarifa zao wafahamike Duniani.
Sijawahi kuona polisi Zanzibar wakipiga picha watu wanaotuhumiwa kuishi kinyume na maadili na kuzisambaza, aaskari bara mnafundishwa wapi ukatili na ya policing?Wapi nafasi ya dawati la jinsia?
Mchumia majangaNdo maana Kuna sehemu nasema huyo dada asaidiwe ametapeliwa.
Kuna video moja niliwahi kuiona miaka Kama 3 hivi.
Mwanamke Ana kalia mguu wa kitanda kile kirungu.kama unavijua Vitanda vya kisasa.vina Kama marungu .
aliamua mwenyewe hakuna mtu wa kumlaumu.
Ila kwa kesi ya huyu binti kuliwa mzigo na kutapeliwa hela zake ndo Mimi namuonea huruma.
Kwa kupiga hiyo video she has caused phonography to be published. hiyo sheria ilishawahukumu kina Wema na Amber Rutty katika mtazamo huo huo kwamba walirekodi ila hawakusambaza lakini kwa kupiga kwao hizo videi wamesababisha kusambaaSheria ndio inamfunga hapo yaani unless uwe umepigwa na mtu ila kujirekodi ni kwamba umesababisha ivuje. Refer kesi ya Wema Sepetu na Amber RuttyView attachment 2062917
Wema alilipa faini Amber rutty alikula mvua tatu. Sasa wanaosema Hana kosa waendelee nao kujichokonoa na chupa wajipige video.Sheria ndio inamfunga hapo yaani unless uwe umepigwa na mtu ila kujirekodi ni kwamba umesababisha ivuje. Refer kesi ya Wema Sepetu na Amber RuttyView attachment 2062917
Kweli kabisa na hapo kwenye ruling, hakimu ana refer to hizo kesiWema alilipa faini Amber rutty alikula mvua tatu. Sasa wanaosema Hana kosa waendelee nao kujichokonoa na chupa wajipige video.
Kwani nani kasambaza!!?? Video kajirekodi mwenyewe, bilashaka msambazaji ni yeye mwenyewe pia.
Badala ya kukaa na kulea watoto wako vizuri endelea kushinda ukiangalia series alafu wakikua wakubwa utatumiwa picha zao whatsapp.Mimi kama mzazi nalaani hili tukio. Jamani tunaoshabikia haya leo siku tukija kuona picha za mabinti au vijana wetu tushabikie hivi hivi.
Kuna mtu alimdanganya atampa milioni 3.baada ya hapo aliporekodi akamtumia Yule jamaa.yule jamaa hakumpa hyo hela akawatumia hyo video marafiki zake huku bongo.wale marafiki zake wakamfuata huyo dada na kumwambia Wana video yake awape laki 6 wasivujishe akawapa alafu jamaa wanamuomba na MZIGO wakala na bado wakavujisha.
Hauoni Kama NI utapeli huo kafanyiwa?
Mbona hao waliomgonga na kumlia hela zake laki 6 .
HAUWASEMI?
hayo makubaliano yao wenyewe.
Nina chomuonea huruma Mimi kutapeliwa hela zake na kuliwa mzigo naona wamemtapeli na video wamezisambaza.
Sina tatizo na kitendo alichofanya maana ni makubaliano yao.
Sheria ndio inamfunga hapo yaani unless uwe umepigwa na mtu ila kujirekodi ni kwamba umesababisha ivuje. Refer kesi ya Wema Sepetu na Amber RuttyView attachment 2062917