Hongera act kwa kupata majimbo 20
Katika uzi mwingine nimemshauri Anna aungane na Dr. Slaa waanzishe chama chao cha siasa kwa sababu cha Mbowe kimekuwa cha kukumbatia ufisadi na ACT ni ya wasaliti.
zito anakubalika ila asingegombea kigoma angeenda na maji ila tunamuhitaji sana huyu jamaaa coz anajua kupambana ana wezi wa fisiem
Mtu akijitahidi apewe pongezi.ACT hakina miezi 18 tangu kianzishwe.Kina mbunge wakati kuna vyama vilianzishwa tangu 1992 nikiwa Standard 1 havijawahi kuwa hata na mwenyekiti wa mtaa.
Acha mambo ya ajabu ww.
Zitto mnafiki sana, kamdanganya Anna badala ya kuwania Ubunge hata jimbo 1 Kigoma eti akamudanganya awanie Urais wa JMT huku akimtelekeza wakati wote wa Kampeni.
Tulia - ACT siyo wajinga wa kihivyo - chama chenye umri mdogo kupata mmbunge na madiwani kibao siyo kazi rahisi, linganisha na akina TLP ambao hawajapata kitu, and kwa matokeo hayo ya urais ya ACT naamini watapata viti maalumu hivyo unaweza kumuona Anna Mghwira Bungeni
Act ni chama chenye mtu anaeaminika sana na Watanzania sema tu nyakati zimekuwa si rafiki kwake.
Haya ndugu zangu, uchaguzi umeisha. Tuungane kuijenga ACT, ndio kimbilio lilobaki kwetu wapenda mabadiliko. Magufuli 2015 tumempa kwa sababu hatukuwa na mbadala. 2020 is for Zitto, shime tuungane kwa nguvu moja tujiandae kwa uchaguzi ujao.
Haya ndugu zangu, uchaguzi umeisha. Tuungane kuijenga ACT, ndio kimbilio lilobaki kwetu wapenda mabadiliko. Magufuli 2015 tumempa kwa sababu hatukuwa na mbadala. 2020 is for Zitto, shime tuungane kwa nguvu moja tujiandae kwa uchaguzi ujao.
Mtu akijitahidi apewe pongezi.ACT hakina miezi 18 tangu kianzishwe.Kina mbunge wakati kuna vyama vilianzishwa tangu 1992 nikiwa Standard 1 havijawahi kuwa hata na mwenyekiti wa mtaa.
atakiuza kama alivyokiuza cdmSafi sana zitto.jeshi la mtu mmoja.naamini utakijenga sana chama chako.
Pamoja na yote ushindi wa act Kigoma mjini Hauna maana ...Kama KURA za wapinzani hasa Kigoma zimepungua na viti PIA yote kutokana na mnyukano wa wake na wapinzani kuwa anayetaka ubunge Kigoma aende act ...Sasa mbona Kiti Kimoja tu...na kafanya wenzake wapoteze ili yeye awe mkuu
Tulia - ACT siyo wajinga wa kihivyo - chama chenye umri mdogo kupata mmbunge na madiwani kibao siyo kazi rahisi, linganisha na akina TLP ambao hawajapata kitu, and kwa matokeo hayo ya urais ya ACT naamini watapata viti maalumu hivyo unaweza kumuona Anna Mghwira Bungeni