Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
Mimi sasa hivi nimeshakuwa huru cina chama tena.
Asante kwa taarifa.
Mimi sasa hivi nimeshakuwa huru cina chama tena.
zito hana hamu ...act ..kiti kimoja tu ..alijifanya mfalme wa kigoma ..zito umoja ni nguvu ndugu.....mmegawa kura kwa ccm bila sababu ya msingi kisa uroho wa majimbo kama ungeamua kuwaunga mkono wenzako akina kafulila mkosamali na machali mngeshinda majimbo mengi mnoo......yaani kujitapa kote kule mmetoka ngoma droo na chadema ...chadema buyungu zito kigoma mjini ..hata ushawishi wa jimbo la kigoma kaskazini pia umemshinda kushawishi act ishinde
pole mkuu
Anna kakitangaza chama cha ACT kuliko ACT ingejitangaza kwa njia yoyote ile
imagine majimbo kama moshi mjini Anna anapata kura 634
strategy ilikuwa kukitangaza na kukikuza chama
Anna atabaki true icon ambaye kawaburuza wengine wote kwa hoja na sera dhahiri akiongozwa na uadilifu pasi chembe ya rushwa wala doa!
grow up!
Zito kabwe must read this umeandika madin matupu zito ni mbinafsi sana ndo kasababisha haya kigoma ajabu kashindwa ata kushawishi alipotoka mbunge ku shinda mnafiki sana
pole mkuu
Anna kakitangaza chama cha ACT kuliko ACT ingejitangaza kwa njia yoyote ile
imagine majimbo kama moshi mjini Anna anapata kura 634
strategy ilikuwa kukitangaza na kukikuza chama
Anna atabaki true icon ambaye kawaburuza wengine wote kwa hoja na sera dhahiri akiongozwa na uadilifu pasi chembe ya rushwa wala doa!
grow up!