Waliomdharau Zitto sasa awafunga midomo

Waliomdharau Zitto sasa awafunga midomo

Zitto ni silaha ya CCM. Imetudhuru majimbo mengi tumepoteza wabunge wengi sana.
 
Acheni mchezo jamani, hapo hamjengi chama bali mtu. Hili liwakae akilini ninyi manazi wake, amepotoka na anawatumia wananchi wake kujificha na kujitengeneza upya...

Nilidhani anayo timu ya watu makini ameungana nayo kumbe ni yeye kujivika u mao.
 
Kumbukeni aliyemlea na kumkuza ni rais wetu anayeondoka ...ccm hii inayoikaribia magogoni haihitaji unasaba naye ....hilo ni la kuliangalia otherwise act i officiate alliance na serikali ijayo ya ccm lakini yeye kuwatumia ukawa kupata apendacho opposition asahau ....lipumba is not arround also kumbeba pale cuf.

Nimfahamuvyo anahitaji sana platform beyond ubunge na hilo ni kuiendea kinyume serikali iliyopo madarakani....

Ccm this time won't let it happen
 
Hakuna wa kumlaumu ila nyie wenyewe chadema. Mlipomtimua Zitto, tena kwa nguvu ya mahakama mliona mko sahihi. Akaanzisha chama, akajichukulia ni mpenda mabadiliko, akatuma maombi kujiunga nanyi, mkaminya. Akasimama mwenye, akaweza kujinyanyua, bado mna mlaumu. Panapostahili sifa sifia, unapostahili lawama wajibika, mmeondoa wanamegausi mkakaribisha mafisadi, hayo ndio matokeo. Tulia dawa iwaingie taratibu.

Mimi sijawahi kusema NI chadema ....la kwanza

Pili chadema hakikuwa chama kikuu Kigoma ..Bali NCCR ..hadi Zitto aliposema wanaotaka ubunge Kigoma wamfuate ...Machali amemfuata mbona hajapata??. Wengine wa ACT mbona hawajapata ?? Sana Sana ccm NDIO wamefaidika na huo Umungu MTU ...tumewapoteza wapiganaji hodari na wenye akili Kama Machali,Mkosamali na Kafulila ...hatujui Yule mama ...Sasa kwa Mwendo HUO kuna haja gani ya kusherekea ushindi .....wa jimbo la Kigoma ....AMBAKO upinzani umeanza toka Aman Walid Kabourou ...NDIO Mara ya kwanza ccm kupata Majimbo mengi Hivi Kigoma ...kwa HIYO hao NDIO wana mawese aliowataka
 
Wametangaza chama chao. Wewe kwa uoni wako mdogo huwezi jua hilo.
Alichotangaza ni usaliti, ndiyo maana hata Moses Machali aliyedanganywa na msaliti mkuu kapoteza jimbo alilokuwa ameshilia. UKAWA wamempoteza jembe Machali sababu ya msaliti mkuu Zitto.
 
Jembe letu hili litakuwepo tena mjengoni panapo majaliwa huku wabaya wake wengi wakiwa hawajui hatima yao.

Wabunge weng wa Chadema hawajui hatima yao huku wafuata upepo wa Mbowe kina Wenje, Nyerere, Haines Kiwia, n.k wakiwa wameshapigwa chini.

Yuko peke yake mbona
 
Alichotangaza ni usaliti, ndiyo maana hata Moses Machali aliyedanganywa na msaliti mkuu kapoteza jimbo alilokuwa ameshilia. UKAWA wamempoteza jembe Machali sababu ya msaliti mkuu Zitto.

Kiwia, Wenje, Vicent Nyerere nao wamekosa sababu ya Zitto. Umepagawa wewe.
 
Last edited by a moderator:
jaman mbona mnapotosha ukweli ,zitto alikwenda kinyume na chama akaondolewa sasa tatizo lipo wapi.ninyi mpongezeni kwa hatua alofikia mie nafurahi sana kwani ameanzisha chama chake naomba akikuze akwa nguvu yake na utashi akili maarifa yake mwenyewe mwisho wa siku aje approve kile ambacho anacho.watu kutofautiana mbona kawaida sana mbona hata watu wa the same bloody mnatofautiana? iwe issue ya chama binafsi mie simbezi ila nimefurahi kuwa ameanza sasa yeye ndo atakaye kuwa role model or area of high energy kwenye chama chake kikue na siku kishike nchi
 
Jembe letu hili litakuwepo tena mjengoni panapo majaliwa huku wabaya wake wengi wakiwa hawajui hatima yao.

Wabunge weng wa Chadema hawajui hatima yao huku wafuata upepo wa Mbowe kina Wenje, Nyerere, Haines Kiwia, n.k wakiwa wameshapigwa chini.

Chamviga umeanza lini kushabikia upinzani?
 
jaman mbona mnapotosha ukweli ,zitto alikwenda kinyume na chama akaondolewa sasa tatizo lipo wapi.ninyi mpongezeni kwa hatua alofikia mie nafurahi sana kwani ameanzisha chama chake naomba akikuze akwa nguvu yake na utashi akili maarifa yake mwenyewe mwisho wa siku aje approve kile ambacho anacho.watu kutofautiana mbona kawaida sana mbona hata watu wa the same bloody mnatofautiana? iwe issue ya chama binafsi mie simbezi ila nimefurahi kuwa ameanza sasa yeye ndo atakaye kuwa role model or area of high energy kwenye chama chake kikue na siku kishike nchi

Walimtengenezea mazingira lakini Hakuwa na kosa.
 
Jembe letu hili litakuwepo tena mjengoni panapo majaliwa huku wabaya wake wengi wakiwa hawajui hatima yao.

Wabunge weng wa Chadema hawajui hatima yao huku wafuata upepo wa Mbowe kina Wenje, Nyerere, Haines Kiwia, n.k wakiwa wameshapigwa chini.
ACT wamepata majimbo mangapi? Au mafanikio ni Zitto tu kurudi bungeni?
 
Jembe letu hili litakuwepo tena mjengoni panapo majaliwa huku wabaya wake wengi wakiwa hawajui hatima yao.

Wabunge weng wa Chadema hawajui hatima yao huku wafuata upepo wa Mbowe kina Wenje, Nyerere, Haines Kiwia, n.k wakiwa wameshapigwa chini.

zITTO KWELI JEMBE ILA KASABABISHA TUMEKOSA WABUNGE MAHIRI SANA WAKINA Machali na wengine waliojiunga na chama chake.
 
Back
Top Bottom