Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,816
zito anakubalika ila asingegombea kigoma angeenda na maji ila tunamuhitaji sana huyu jamaaa coz anajua kupambana ana wezi wa fisiem
hongera mkuu kuliona hilo
zito anakubalika ila asingegombea kigoma angeenda na maji ila tunamuhitaji sana huyu jamaaa coz anajua kupambana ana wezi wa fisiem
pole mkuu
Anna kakitangaza chama cha ACT kuliko ACT ingejitangaza kwa njia yoyote ile
imagine majimbo kama moshi mjini Anna anapata kura 634
strategy ilikuwa kukitangaza na kukikuza chama
Anna atabaki true icon ambaye kawaburuza wengine wote kwa hoja na sera dhahiri akiongozwa na uadilifu pasi chembe ya rushwa wala doa!
grow up!
Katika uzi mwingine nimemshauri Anna aungane na Dr. Slaa waanzishe chama chao cha siasa kwa sababu cha Mbowe kimekuwa cha kukumbatia ufisadi na ACT ni ya wasaliti.Acha mambo ya ajabu ww.
Zitto mnafiki sana, kamdanganya Anna badala ya kuwania Ubunge hata jimbo 1 Kigoma eti akamudanganya awanie Urais wa JMT huku akimtelekeza wakati wote wa Kampeni.
zito hana hamu ...act ..kiti kimoja tu ..alijifanya mfalme wa kigoma ..zito umoja ni nguvu ndugu.....mmegawa kura kwa ccm bila sababu ya msingi kisa uroho wa majimbo kama ungeamua kuwaunga mkono wenzako akina kafulila mkosamali na machali mngeshinda majimbo mengi mnoo......yaani kujitapa kote kule mmetoka ngoma droo na chadema ...chadema buyungu zito kigoma mjini ..hata ushawishi wa jimbo la kigoma kaskazini pia umemshinda kushawishi act ishinde
Yule mama angegombea ubunge angepita sema ZZK alimcheze mchezo kwa kutumia prof.Mkumbo alafu mama akochomekewa gafla.
Tumewaonya mara nyingi humu siasa ni sayansi sio nyomi za watu, wakati Zitto anafanya siasa nyie mnafanya maigizo ya kudeki barabara!zito hana hamu ...act ..kiti kimoja tu ..alijifanya mfalme wa kigoma ..zito umoja ni nguvu ndugu.....mmegawa kura kwa ccm bila sababu ya msingi kisa uroho wa majimbo kama ungeamua kuwaunga mkono wenzako akina kafulila mkosamali na machali mngeshinda majimbo mengi mnoo......yaani kujitapa kote kule mmetoka ngoma droo na chadema ...chadema buyungu zito kigoma mjini ..hata ushawishi wa jimbo la kigoma kaskazini pia umemshinda kushawishi act ishinde
Walimsifia saana kafulila kumbe wanakigoma wamempimia tu anavojfaragua na hao wachaga na kumsahau ZZK, wakamwambia atafutiwe jmbo Kilimanjaro akadhan masihara sasa waha washafanya yao alete zle kelele za mara tuzo mbunge bora oooh
Acha mambo ya ajabu ww.
Zitto mnafiki sana, kamdanganya Anna badala ya kuwania Ubunge hata jimbo 1 Kigoma eti akamudanganya awanie Urais wa JMT huku akimtelekeza wakati wote wa Kampeni.
Walimsifia saana kafulila kumbe wanakigoma wamempimia tu anavojfaragua na hao wachaga na kumsahau ZZK, wakamwambia atafutiwe jmbo Kilimanjaro akadhan masihara sasa waha washafanya yao alete zle kelele za mara tuzo mbunge bora oooh