Walioingiza mabomu Arusha wakamatwa!

Walioingiza mabomu Arusha wakamatwa!

Kwa maana hiyo mbowe na lema ndo walokamatwa?naomba majibu toka kwa chizi nepi
 
Sijui sasa hivi CCM wanalengo la kutusahaulisha kuhusu kitu gani (mapendekezo ya rasimu ya katiba mpya au?). Maana tumezoea kila wakishikwa pabaya wanazusha jambo ku-draw attention za watu ili japo fulani haramu walifanikishe.

>Suala la padri kumwagiwa tindikali!
 
>Msishangae ikawa ni allshaababu chezea ccm wewe...
 
Wako kwenye makubaliano ya mwisho ya kusaini mkataba.
 
Kama ni kweli wamekamatwa basi tumshukuru mungu. Hao ni mashetani na hawafai kuishi.
 
I dont trust this dude by the name mulongo, how comes a political cadre acts and speak on behalf of law enforcers
 
Padri amemwagiwa tindi kali na mapepo wanaopigania dini yao. Mungu wao hana nguvu na ndio maana wanamsaidia Mungu kupigana.
 
sitoshangaa na nape akatolea ufafanuzi hili jambo.

tangu siku ya kwanza nilipata maswali mengi eg iweje waziri Lukuvi anatangaza dau la 100mil. Tzs badala ya jeshi la polisi?

Leo tena mseji ni walewale wanasiasa. Mbona Dar msdmaji mkuu ni Kova?

Anaharaka ya nini kuleta taarifa nusunusu?
 
Kwa sababu CHAMA CHA MAPINDUZI kimejipa jina ambalo kiuhalisia inatakiwa wawe wamefanya mapinduzi kweli, wanaamua kuhalalisha Jina lao kwa kupindua kila kitu,
Sembe la akina Masogange wameishapindua badala ya Crystal Meth.wanasema ni Ephedrine, Dr Ulimboka alitekwa na Usalama wa Taifa wakapindua wakasema Mkenya na wamepindua tena wanasema Mkenya amedanyanya,Na hili la Soweto tutashuhudia mapinduzi mengine.
 
Ndo iule sinema ya kutaka jambazi la tabora liseme ni lenyewe lilitumwa na cdm

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
There are currently 444 users browsing this thread. (55 members and 389 guests)
 
Nina swali.

Bangoo kwanini Mkuu wa Mkoa awe ndiyo msemaji wa jambo hili?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom