Mulungwani
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 456
- 84
Kuna uhusiano wowote tukio lililotokea zenj hivi karibuni? Hii timing inatia mashaka sana.
Tangu "waliposhindwa" kujua aliyeemuua Mwangosi na aliyemteka na kisha kumtesa Dr Ulimboka, sijapata kuwaamini tena polisi wetu.
Hapo umenena mkuu maana Dr alitekwa na watu anaowafahamu matokeo yake hatujaöna lolote na Dr Ulimboka ni mtu mdogo sana katika timbwili hili lazima akae kimya maana akipasua jipu tu na yeye ndio mwisho wa maisha yake