Walioingiza mabomu Arusha wakamatwa!

Walioingiza mabomu Arusha wakamatwa!

tatizo watanzania tumegeuzwa kama misukule,nape halisema chadema walijilipua,mwigulu akasema majirani wanaotuonea wivu,leo tunaambiwa wamekamatwa,2015 mbona mbali jaman hawa magamba tumewachoka
 
Hivi kwanini Mulongo Magesa anaweka politiki kwenye jambo sensitive namna hii?
Ni yaleyale ya jamaa wa Kanda Maalum ya Dar kujitokeza na mabunduki kwenye Tv kila siku, wakati hata kesi haijafanyiwa uchunguzi.
Huyu Mulongo ana tuhuma za tenda ya taa za barabarani iliyoibuliwa na Mkurugenzi waJiji mama Sipora Liana, na juzi alitwa Dodoma kujieleza. Nadhani amepanic na ametunga jambo litakalo'dilute aibu kubwa anayoipata kwa ishu hii.
Jeshi la polisi nalo kwanini linaivua nguo taaluma yake kwa kuruhusu wasanii waongelee mambo sensitive namna hii?
 
bom la soweto arusha , lilitoka na kutengenezwa, balozi wa china na kinana wachunguzwe....
 
Toka lini mkuu wa mkoa akawa ndio msemaji wa polisi?
 
Mulongo yeye ametoa hiyo kama nani!?

bongo tumeshindwa kabisa kutofautisha mamlaka za serekali ama serekali na siasa, utoshangaa mkuu wa wilaya akifanya kazi za RPC, uoni mwigulu anafanya kaza kama IGP
 
Hivi kwanini Mulongo Magesa anaweka politiki kwenye jambo sensitive namna hii?
Ni yaleyale ya jamaa wa Kanda Maalum ya Dar kujitokeza na mabunduki kwenye Tv kila siku, wakati hata kesi haijafanyiwa uchunguzi.
Huyu Mulongo ana tuhuma za tenda ya taa za barabarani iliyoibuliwa na Mkurugenzi waJiji mama Sipora Liana, na juzi alitwa Dodoma kujieleza. Nadhani amepanic na ametunga jambo litakalo'dilute aibu kubwa anayoipata kwa ishu hii.
Jeshi la polisi nalo kwanini linaivua nguo taaluma yake kwa kuruhusu wasanii waongelee mambo sensitive namna hii?

>Ndo viongozi wa ccm hao
 
HUU ni usanii haingiii akilini walipuaji kulipua ktk matukio tofauti na sehemu tofauti na siku tofauti na malengo tofauti halafu waje wakamtwe kwa siku moja na muda mmoja.FULL USANIII.Ipo siku kweli itatuweka HURU

UMEONAA EEhhh!Siku zote matukio hutangazwa na RPC,IGP,leo RC kulikoni?
 
Le philosophe et le professeur: looking though ruling party's hanky pancky.

But this counts merely to the eyes of the fools and brainwashed prisoners of bewilderment!!!

Let the gamble crosses the floor to other stake.
Can not be readily decived and dragged like a kid Or an ox.

#try_another_day_round .
 
Unathibitisha mpango mzima wa kuwabambikia watu hilo sakata
 
Ambrose dereva wa Bodaboda wamemwachia? Hawa Polisi wanataka kutuaminisha kuwa waliolipua Kanisa ndio waliolipua Mkutano wa Chadema!
 
Sijui sasa hivi CCM wanalengo la kutusahaulisha kuhusu kitu gani (mapendekezo ya rasimu ya katiba mpya au?). Maana tumezoea kila wakishikwa pabaya wanazusha jambo ku-draw attention za watu ili japo fulani haramu walifanikishe.
 
s vuvuzela nape alisema chadema ndio walijilipua?

We hukumuelewa nape,nape anamaanisha cdm ikijaza watu kwenye mikutano yake,ccm lazima walipue anamaanisha cdm wanalielewa hilo.Ndio maana anasema cdm wamejilipua wenyewe kwa kufanya mkutano ullojaza kuliko ccm.
 
Nilisoma uzi mmoja leo kuhusu tetesi kuhusu issue ya viongozi wa Chadema kubambikiwa kesi hii ya mabomu Arusha.. Halafu linakuja tamko hili la Mulogo.. Shaka inaanza kunijia.. Lisemwalo lipo.. kama halipo laja..
 
Back
Top Bottom