LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,197
- 14,903
May be ni yule Mkenya wa KovaUtumbo mwingine toka kwa wateule
May be ni yule Mkenya wa KovaUtumbo mwingine toka kwa wateule
Kama bomu lilithibitishwa kuwa lilitengenezwa China,na kwa kuwa Balozi wa China ameonekana wazi kuwa bega kwa bega na CCM huku Nape akitolea ufafanuzi kuwa China na CCM ni marafiki toka enzi,je si ni dhahiri shahiri CCM ndio waliohusika na mabomu hayo!Nawasilisha
Taarifa kutoka jijini Arusha zinasema kuwa jeshi la polisi limefanikiwa kuwakamata watu walioingiza na kulipua mabom ktk kanisa catholic olasiti na kwenye mkutano wa chadema ambapo watu kadhaa wakifariki na wengine kujeruhiwa vibaya Kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Magesa Mulongo.
Mulongo amesema wako kwenye mahojiano ya mwisho na kila kitu kitakuwa hatharani muda si mrefu...
Breaking news (E.A.RADIO)
Huyo mkuu wa mkoa angesubiri mahojiano yaishe kwanza ndo aje na hizo habari, sio kutuletea yale yale ya mtekaji wa Ulimboka. Politics at work!!
mashoga wanachunguliana wao wenyewe, wanajitenya na kucheka. Polisi = ccmkabisa kwa akili ya nape inawezekana, wala hujakosea.......vipi rais akatae kuunda tume huru kuubaini ukweli kinyume
chake wale wanaotiliwa mashaka wanaachwa kujichungulia.....huwezi kuwa na kashifa kwa kujichungulia........ Siwewe
mwenyewe.....ila ukichunguliwa na watu tofauti hapo hamaki nk huwezekana.
Wanataka kutusahaulisha ya Padri aliyemwagiwa Tindikali Zanzibar.............Hakika sinema inaanza hili ni kuwanymazisha wahanga tu ila kama kawaida ni tabia ya kupandikiza mambo ili tusahau tulilonalo..................Kumbuka Babu wa loliondo alitokana na EPA, yakapita mengi...............mabomu Arusha watu wakaachiwa wakina lwakatale then wabunge wakarudishiwa ubunge wao ........kilichofuata hapo unakijua? fikiria
Kama bomu lilithibitishwa kuwa lilitengenezwa China,na kwa kuwa Balozi wa China ameonekana wazi kuwa bega kwa bega na CCM huku Nape akitolea ufafanuzi kuwa China na CCM ni marafiki toka enzi,je si ni dhahiri shahiri CCM ndio waliohusika na mabomu hayo!Nawasilisha