Waliofanikiwa katika dunia hii ni wachache sana, wengi bado wanahangaika

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,483
40,497
Maana yangu katika kufanikiwa:

Kufanikiwa ni kuwa na uhuru wa kifedha, kuwa na amani moyoni, bila kuwepo na nguvu ya ziada ya ushurutishaji; uwe wa kimawazo, kiuchumi au kimazingira.

Hii inatafsiri, aliyefanikiwa anaweza kujiamulia mambo yake mwenyewe bila kuwepo na ushurutishaji wa kufanya kitu/jambo fulani kwa muda fulani.

Aliyefanikiwa anaweza akajiamulia kuamka muda wowote anaotaka yeye, na kwenda sehemu yoyote anapojisikia bila kuwepo na nguvu ya kumhimiza kufanya jambo au kitu fulani kwa muda fulani.

Ukiona kwa upande wako, ili upate pesa lazima uende akateseke au uwahi kazini/kwenye biashara yako, ata kama inakupa milioni 500; bado wewe hujafanikiwa.

Alyefanikiwa, anakuwa tayari alishaweka mifumo ya watu kumfanyia kazi; ata akilala mpaka saa kumi jioni; mifumo inakuwa inamletea mahitaji yake; huyo ndiye aliyefanikiwa.

Ukiona ili upate kipato lazima uwahi asubuhi, utii maagizo ya bosi wako n.k ata kama unapata pesa nyingi; amini wewe bado hujafanikiwa, bali upo unateseka na kuhangaika.

Kwa mazingira hayo; wengi bado hatujafanikiwa zaidi ya kuhangaika tu.

Je, wewe umefanikiwa? Toa sababu.​
 
Mzee hakuna mtu aliefanikiwa kama ni hivo, kina Mo wanaamka saa 11, unapokuwa na pesa nying lazima majukumu yawe mengi, huwez acha kila kitu kwa watu ukawa hata hujui kampuni zako zinaendaje, ndio watu watafanya kazi ila na wew utahitaji kupitia marketing reviews, future plans, ujue financials za kampuni zako, in short mambo yanazidi kuwa mengi.

Labda uamue kuweka pesa UTT kisha wew uwe wa kulala na kuamka (which is boring life)
 
Mzee hakuna mtu aliefanikiwa kama ni hivo,
Kina Mo wanaamka saa 11, unapokuwa na pesa nying lazima majukumu yawe mengi, huwez acha kila kitu kwa watu ukawa hata hujui kampuni zako zinaendaje, ndio watu watafanya kazi ila na wew utahitaji kupitia marketing reviews, future plans, ujue financials za kampuni zako, in short mambo yanazidi kuwa mengi,

Labda uamue kuweka pesa UTT kisha wew uwe wa kulala na kuamka (which is boring life)
Inatafsiri, wengi bado tunahangaika bado kufanikiwa.
 
Unafanya kazi ili uishi, ama unaishi ili ufanye kazi.

Hili ni swali gumu sana kwa wengi.
Wengi hatuishi, tumekuwa watumwa wa kazi; na hii inatokana na kutokuweka mifumo thabiti katika vyanzo vyetu vya mapato ata kama wewe hutosimamia, tayari kunakuwepo na mifumo ya kukuletea mapato bila wewe kuhangaika.​
 
Maana yangu katika kufanikiwa:-

Kufanikiwa ni kuwa na uhuru wa kifedha, kuwa na amani moyoni, bila kuwepo na nguvu ya ziada ya ushurutishaji; uwe wa kimawazo, kiuchumi au kimazingira.

Hii inatafsiri, aliyefanikiwa anaweza kujiamulia mambo yake mwenyewe bila kuwepo na ushurutishaji wa kufanya kitu/jambo fulani kwa muda fulani.

Aliyefanikiwa anaweza akajiamulia kuamka muda wowote anaotaka yeye, na kwenda sehemu yoyote anapojisikia bila kuwepo na nguvu ya kumhimiza kufanya jambo au kitu fulani kwa muda fulani.

Ukiona kwa upande wako, ili upate pesa lazima uende akateseke au uwahi kazini/kwenye biashara yako, ata kama inakupa milioni 500; bado wewe hujafanikiwa.

Alyefanikiwa, anakuwa tayari alishaweka mifumo ya watu kumfanyia kazi; ata akilala mpaka saa kumi jioni; mifumo inakuwa inamletea mahitaji yake; huyo ndiye aliyefanikiwa.

Ukiona ili upate kipato lazima uwahi asubuhi, utii maagizo ya bosi wako n.k ata kama unapata pesa nyingi; amini wewe bado hujafanikiwa, bali upo unateseka na kuhangaika.

Kwa mazingira hayo; wengi bado hatujafanikiwa zaidi ya kuhangaika tu.

Je, wewe umefanikiwa? toa sababu.​
Naona bado tunahangaika tu.

Kujipata sio Jambo dogo
 
Maana yangu katika kufanikiwa:-

Kufanikiwa ni kuwa na uhuru wa kifedha, kuwa na amani moyoni, bila kuwepo na nguvu ya ziada ya ushurutishaji; uwe wa kimawazo, kiuchumi au kimazingira.

Hii inatafsiri, aliyefanikiwa anaweza kujiamulia mambo yake mwenyewe bila kuwepo na ushurutishaji wa kufanya kitu/jambo fulani kwa muda fulani.

Aliyefanikiwa anaweza akajiamulia kuamka muda wowote anaotaka yeye, na kwenda sehemu yoyote anapojisikia bila kuwepo na nguvu ya kumhimiza kufanya jambo au kitu fulani kwa muda fulani.

Ukiona kwa upande wako, ili upate pesa lazima uende akateseke au uwahi kazini/kwenye biashara yako, ata kama inakupa milioni 500; bado wewe hujafanikiwa.

Alyefanikiwa, anakuwa tayari alishaweka mifumo ya watu kumfanyia kazi; ata akilala mpaka saa kumi jioni; mifumo inakuwa inamletea mahitaji yake; huyo ndiye aliyefanikiwa.

Ukiona ili upate kipato lazima uwahi asubuhi, utii maagizo ya bosi wako n.k ata kama unapata pesa nyingi; amini wewe bado hujafanikiwa, bali upo unateseka na kuhangaika.

Kwa mazingira hayo; wengi bado hatujafanikiwa zaidi ya kuhangaika tu.

Je, wewe umefanikiwa? toa sababu.​
Watoto hudhani mafanikio ni kupata pesa tu.
 
Back
Top Bottom