Waliobanwa katika ajali wafariki

Waliobanwa katika ajali wafariki

ni asili yetu kutokuwa serious(by our own nature we are not serious people),mtalalamika sana lakini ndio asili.ni ngumu kukubali lakini ndio hivyo. gorofa kuanguka,magari ajali haziishi,meli zinapinduka na kuua nakuendelea, chukua dakika kutafakari kwa kina(critical thinking) utanielewa.
 
Kwa hili haliwezi kutupatia imani na serekali iliyopo madarakani,ukweli ukisemwa msema kweli amani hana hii ndiyo nini sasa?!!!!!
 
Siasa imekuathiri hadi kwenye mfumo wa ubongo wako. Hivi huwa hamuoni aibu kila kitu kuingiza siasa? Eti mtazamo wa kimagamba, huoni hata aibu. Mtu anakufa hapo badala ya kutoa msaada unasubiri serikali. Akifa unajifanya unapiga kelele. Ukiambiwa hujatoa msaada eti unasema ni mtazamo wa kimagamba upuuzi mtupu. Masaa 16 umebaki tu umekodoa mimacho yako unasubiri serikali.

Hata hujielewi,naona unaropoka kama kuku ambae amekatika kichwa kaa kushoto.
 
Inasikitisha sana, hasa kuwa na kiongozi anayependa kutoa rambirambi misibani, ye kazi yake ni kusubili maafa yatokee ili akatoe rambirambi.
 
Kwa kweli inasikitisha sana, hivi kweli serikali yetu imeshindwa kabisa kuwaokoa ndugu zetu hao, hadi mauti imewafika?! Mungu zibariki roho za marehemu hao... Lakini mwisho wa yote haya umekaribia...
 
Wa TZ tumezidi woga hata maandamano ya kulalamikia kitu hatufanyi, tunaachia wanachama wa vyama tu, kuendelea au mabadiliko yatakujaje?

Si woga tu bali tuliowengi tunateswa na ujinga. Kwa swala kama hili hata hatujui pa kuanzia japo kuionyesha serikali kuwa leo haijawatendea haki marehemu wale na pengine kesho au kesho kuwa haitawatendea haki watz wengine maana inaonekana wameshazoea!
 
Nawasubiri wapenda PICHA waende kuwani MISIBA..Watu wanapenda misiba jamani...Hadi wanaalikwa!AIBU!
 
mim nilijua walishaokolewa zamani,daa imenisikitisha sana na kuumiza,naona tuna sirikali siyo serikali
 
Hivi jamani mkoa mzima walikosa kweli vifaa vya kuwaokoa...
Ccm na serikali yake hawana msaada kwa maskini wa nchi hii

msimu wa maembe ukifika vichaa wanakuwa wengi kwahiyo ukikutana na simba porini utakimbia kujioka au utasubiri mpaka askari game aje kukuokoa sasa hao wapigapicha walipatawapi vifaa vya kupigia picha wakashindwa kutafuta njia ya kuwasaidia hilo eneo linawatu au ndio msimuwao kama kicha mirembe amechorewa mlanga anasema anafunguo kilakitu tutasubiri serikali ata ukiingia chooni utasubiri serikali
 
Hata hujielewi,naona unaropoka kama kuku ambae amekatika kichwa kaa kushoto.

Ujinga ni janga kwelikweli. Haya wewe unayejielewa kaa kulia. Na siku mkeo au wanao wakibanwa na lori kaa masaa 16 hivyo hivyo ukisubiri serikali ije iokoe maisha yao.
 
hili jambo linaumiza sana, hivi mwandishi wa habari alichukua hatua gani baada ya kupata habari yake! kama yupo humu au wanaoweza kumfikishia ujumbe wapo naomba jibu! ifike mahala waliomadarakan wajulikane kwa uzembe wao!
 
Ujinga ni janga kwelikweli. Haya wewe unayejielewa kaa kulia. Na siku mkeo au wanao wakibanwa na lori kaa masaa 16 hivyo hivyo ukisubiri serikali ije iokoe maisha yao.

Nashukuru umejitambua hapo kwenye red, kwaheri
 
msimu wa maembe ukifika vichaa wanakuwa wengi kwahiyo ukikutana na simba porini utakimbia kujioka au utasubiri mpaka askari game aje kukuokoa sasa hao wapigapicha walipatawapi vifaa vya kupigia picha wakashindwa kutafuta njia ya kuwasaidia hilo eneo linawatu au ndio msimuwao kama kicha mirembe amechorewa mlanga anasema anafunguo kilakitu tutasubiri serikali ata ukiingia chooni utasubiri serikali

Wanakimbilia kupiga picha badala ya kutoa msaada. Watasema walikuwa kazini wakiripoti matukio, ila sidhani kama ingekuwa ndio watoto wao wamebanwa wangekumbuka hata picha zinapigwaje.
 
Tatizo waTZ tumekuwa watu wa kulalamika tu na hata wachache wanapojitokeza kuonyesha kutofurahishwa na baadhi ya uzembe bado wanafaki wa kuwabeza kuwa wanamarengo ya kisiasa wanakuwa wengi na serikali kukimbilia kurusha mabomu ya machozi au kwenda kuweka pingamizi mahakamani. Waingereza wanasema "A man of word and not of deed is like a garden with full of weed" na wakaongeza kuwa "Waiting for success without struggling is like cooking an empty pot and waiting for hot soup" na Mbunge Msigwa huwa anarudia mara kwa mara kuwa "Insenity is keep doing the same thing in the same way awhile expecting different results" na namaliza kwa kumnukuu aliyekuwa rais wa Msumbiji marehemu Samora Moses Machel yeye alisema "Mbwa wa tajiri ulishwa na kutibiwa kwa ghalama kubwa sana kuliko wafanya kazi ambao kwa jasho lao tajiri huyo amepata utajiri wake" naamini nimeeleweka nnachokimaanisha. Roho ya Mtunisia mmoja tu ilipoondolewa katika mazingira ya kukera kama haya ilitosha kabisa kuiondoa madarakani serikali dhalimu na zembe kisha moto kusambaa umbali mrefu sana. Hasira za watanzania ni kususia kupiga kura kwa kudai yeyote atakayeshinda hatoleta mabadiriko yoyote lakini akiambiwa mafuta au nauri zimepanda ndio wa kwanza kulilia. Bob Marley pamoja na bangi zake lakini alitwambia ukweli kuwa "Imencipate yourself from the mental slavery coz non but ourrelves can free our minds, have no fear for their atomic energy coy non of them can stop the time, how long shall them kill our prophets while we stand aside and look?" chukua hatua mtanzania.
 
R.I.P Nduguze2, ingelikuwa limekwama kontena la almas lisingekaa muda muda wote ila wa2 da inauma,inauma, m2kufa anajiona
 
Ama kwa hakika inauma sana, haya mambo ndugu zangu yasikie tu..ni gharama sana kuwa masikini!
 
Back
Top Bottom