BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,913
Hii nchi ya ajabu sana,watu wamebanwa ndani ya ajali Iringa baada ya malori kugongana,zaidi ya masaa 8,hakuna huduma ya kuwanasua,jana walikua wanaongea na kuomba msaada,leo tunaambiwa wamefariki.Hata dripu wangewekewa hapo hapo kwenye ajali wakati wanasubiri kunyofolewa.TANROADS kazi kupima uzito tuu?kwa nini wasiwe na crane la kunyanyua magari kila baada ya umbali fulani?