Waliobanwa katika ajali wafariki

Waliobanwa katika ajali wafariki

Jamani hii inasikitisha sana, na haswa itawauma sana ndugu, jamaa na marafiki wa wao. Mungu awalaze pema peponi.
 
Kikwete atatuma rambi rambi ns kuhudhuria mazishi
Msosi wa msibani mtamu!...What goes arround comes arround, Hii dhulma wanayowafanyia Watanzania ipo siku zitawarudi kwa nguvu kubwa ama zaidi...
 
Hivi nani anyejali utu wa mtanzania sasa? Sijawahi kuandika hivi, lakini hii serikali haina uhalali wowote wa kuwa madarakani!Inauma sana!
 
Hii nimeiona itv,kwa hakika inasikitisha sana!hivi kweli hakukuwa na uwezekano wa kuwaokoa wale ndugu?R.I.P Tanzania tunaangamia huku tunaona kama hawa jamaa waliobanwa na lori.
 
aiseee....pumbavu moja utalisikia tattizo chadema....pumzikeni kwa amani

CCM, ya Wassira, Mwigulu, Nape (nasikia hana u-bin huyu), Kinana, JK, Lowassa, Mangula ni kwa ajili ya ufisadi, matambiko kupitia viungo vya miili ya albino, biashara ya madawa ya kulevya, kuuwauzia waarabu na wairan ardhi yetu, kuigawa nchi kwa wachina. Maisha ya watanzania kwao hayana maana.
 
Kwa wale mnaofuatilia taarifa ya habari, kuna vijana waliokuwa wakizungumza wakiwa wamebanwa na malori baada ya kupata ajali na kuomba msaada kupitia vyombo vya habari.

Majeruhi wawili waliobanwa katika lori la mizigo katika ajali iliyotokea eneo la Maseyu barabara ya Morogoro - Chalinze wamefariki Dunia baada ya kuchelewa kuokolewa kwa zaidi ya masaa 16 kutokana na kukosekana kwa vifaa vya uokoaji.

Jambo la kusikitisha, pamoja na kwamba wamekaa hai kwa muda mrefu lakini vyombo sahihi vya kuwakwamua kutokana na kubanwa na malori vimekosekana hadi wakafa wanaona.

Mungu isaidie Tanzania, watu wanakufa baada ya kuwa hai kwa zaidi masaa 10.

Swali la kujiuliza, vipi kama Lori hilo lingekuwa limembana waziri au mkuu wa mkoa akiwa ndani ya gari lake?.

Bila kuoneana aibu, hapo serikali mmefanya uzembe! R.I.P my fellow poor

Usiseme winchi tu ingepelekwa ndege mfano mzuri hawa wanaojiita Waheshimiwa akiugua hata pressure au malaria kali tena maeneo ya makao makuu ya mkoa ambapo kuna hospitali ya mkoa itatumwa ndege inambeba kumleta Muhimbili wakati hapo alipougulia au alipopatia ajali wanaweza wakamtibu. Tumeshuhudia ajali ya Mbeya bado wengine wanaugulia wakiwa kikaoni Dodoma. Namuona MR.PRESIDENT nae ni miongoni mwa guest 349 wanaoangalia uzi huu huenda ndo JK labda atatoa tamko
 
Last edited by a moderator:
Wa TZ tumezidi woga hata maandamano ya kulalamikia kitu hatufanyi, tunaachia wanachama wa vyama tu, kuendelea au mabadiliko yatakujaje?
 
Kwa wale mnaofuatilia taarifa ya habari, kuna vijana waliokuwa wakizungumza wakiwa wamebanwa na malori baada ya kupata ajali na kuomba msaada kupitia vyombo vya habari.

Majeruhi wawili waliobanwa katika lori la mizigo katika ajali iliyotokea eneo la Maseyu barabara ya Morogoro - Chalinze wamefariki Dunia baada ya kuchelewa kuokolewa kwa zaidi ya masaa 16 kutokana na kukosekana kwa vifaa vya uokoaji.

Jambo la kusikitisha, pamoja na kwamba wamekaa hai kwa muda mrefu lakini vyombo sahihi vya kuwakwamua kutokana na kubanwa na malori vimekosekana hadi wakafa wanaona.

Mungu isaidie Tanzania, watu wanakufa baada ya kuwa hai kwa zaidi masaa 10.

Swali la kujiuliza, vipi kama Lori hilo lingekuwa limembana waziri au mkuu wa mkoa akiwa ndani ya gari lake?.

Bila kuoneana aibu, hapo serikali mmefanya uzembe! R.I.P my fellow poor

Usiseme winchi tu ingepelekwa ndege mfano mzuri hawa wanaojiita Waheshimiwa akiugua hata pressure au malaria kali tena maeneo ya makao makuu ya mkoa ambapo kuna hospitali ya mkoa itatumwa ndege inambeba kumleta Muhimbili wakati hapo alipougulia au alipopatia ajali wanaweza wakamtibu. Tumeshuhudia ajali ya Mbeya bado wengine wanaugulia wakiwa kikaoni Dodoma. Namuona MR.PRESIDENT nae ni miongoni mwa guest 349 wanaoangalia uzi huu huenda ndo JK labda atatoa tamko
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa watendaji si ndio kila siku wanakwea pipa na wengi wamesoma/wametembelea nchi zilizoendelea, hivi hawatamani wenzetu wanavyoishi? Walivyo serious na kazi na majukumu yao, wanavyofuata sheria? wanavyowajibika? Hii nchi hii mpaka naogopa....eeh Mungu tusaidie!
 
Kwa wale mnaofuatilia taarifa ya habari, kuna vijana waliokuwa wakizungumza wakiwa wamebanwa na malori baada ya kupata ajali na kuomba msaada kupitia vyombo vya habari.

Majeruhi wawili waliobanwa katika lori la mizigo katika ajali iliyotokea eneo la Maseyu barabara ya Morogoro - Chalinze wamefariki Dunia baada ya kuchelewa kuokolewa kwa zaidi ya masaa 16 kutokana na kukosekana kwa vifaa vya uokoaji.

Jambo la kusikitisha, pamoja na kwamba wamekaa hai kwa muda mrefu lakini vyombo sahihi vya kuwakwamua kutokana na kubanwa na malori vimekosekana hadi wakafa wanaona.

Mungu isaidie Tanzania, watu wanakufa baada ya kuwa hai kwa zaidi masaa 10.

Swali la kujiuliza, vipi kama Lori hilo lingekuwa limembana waziri au mkuu wa mkoa akiwa ndani ya gari lake?.

Bila kuoneana aibu, hapo serikali mmefanya uzembe! R.I.P my fellow poor

Usiseme winchi tu ingepelekwa ndege mfano mzuri hawa wanaojiita Waheshimiwa akiugua hata pressure au malaria kali tena maeneo ya makao makuu ya mkoa ambapo kuna hospitali ya mkoa itatumwa ndege inambeba kumleta Muhimbili wakati hapo alipougulia au alipopatia ajali wanaweza wakamtibu. Tumeshuhudia ajali ya Mbeya bado wengine wanaugulia wakiwa kikaoni Dodoma. Namuona MR.PRESIDENT nae ni miongoni mwa guest 349 wanaoangalia uzi huu huenda ndo JK labda atatoa tamko
 
Last edited by a moderator:
Tools Kama Hydraulic Rescue Cutters ilitakiwa iwe ni lazima kuwepo kwenye Mabasi ya abiria na malori ya mizigo. Hicho kifaa kinagharimu kati ya $1000-2500....Lakini kinaokoa Maisha. Natumaini Watanzania tumejifunza kwenye hili Janga. Tuviwajibishe vyombo husika vyenye mamlaka ya kusimamia Usalama wa kila Mtanzania.
CHUKUA HATUA.
 
Tatizo serikali ikiamini kila kitu ni gharama au hakuna budget ndio mwisho wake huu, raia yoyote ana haki ya kuokolewa hata kama alitaka kujiua na kwa gharama yoyote.
 
Nasikitika kutokua na rais..kweli watanzania hatuna rais.hii inauma kuliko..eeh Mungu turehemu viumbe wako tusamehe kwa kumwaga damu isiyo na hatia TZ...inatosha na kama ni jaribu hili lipo juu ya uwezo wetu.
 
Mtanzania unathamani pale unaponga foleni kupiga kura baaasi baada ya hapo wewe ni trash!!! Mungu kwa nini uliileta ccm?
 
Hapo utasikia tume ya kuchunguza!"bullshit". Hii nchi imelaaniwa tangu lini? Kama vyombo vya habari vinakimbilia kwenda kupiga picha badala ya vyombo vya uokozi kwenda kuokoa watu na hatimaye watu wanakufa bila kuokolewa, 'what kind of nonsense is this?
 
Fikiri kama ingekuwa bw nepi au chemba, dk 5 tu wangechomolewa. Ccm hoyeee.

Wanauwa kila siku, kwa ufisadi wao ghorofa limeporomoka na kuuwa

Aandae chakula kwa waliopoteza Maisha!!R.I.P watz wenzangu

Aliwahi kwenda okoa kichwa cha mdogo wa Riz One kisikatwe na wachina. Alisafiri kilomita zaidi ya elfu mbili. Ameshindwa kutuma vifaa vya uokozi mahali pa kilomita zisizozidi 300.


Inasikitisha sana...Inauma mno...

nimepata uchungu hasa.na ninayo kila sababu ya kuamini serikali ya ccm imeachwa na Mungu na hakuna hata aliyebaki mwenye busara na hekima

Leo kama haitoshi wanataka kuwahamisha wamasai elfu 65,000 huko Loliondo kwa ajiliya mwarabu mmoja na familia yake wasiozidi 22. Itakuwa hao watanzania 2 makapuku.


C' est le 'laissez a' affaire gvt'! who cares! kuna maeneo ninapoishi, karibu na mkuu wa wilaya/halmashauri lakini miundombinu ovyo ovyo. wanachukua chao mapema.

Kujiunga na CCM toka zamani maana yake kuwa tajiri, kujificha. Hujaona jinsi gani wanavyouziana nafasi katika kila chaguzi zao ndani na nje ya chama chao.


Hii ni mbaya sina maelezo ya kuisimulia nchii ni hatari kuishi kuliko somalia na syria Mungu atusaidie ila hii serikali ya CCM

Uokoaji wa wa wale watanzania wawili haukuwa na ahadi ya ten percent ndio maana hakukufanyika jitihada zozote kuwaokoa.

yan kwa hayo masaa hata vifaa vingetoka dar vingewakuta wako hai..poleni wafiwa ila naimani watakuwa wamelala wakitegemea ufalme wa mbinguni siku moja kwa mateso waliyopata sidhani kama wameshindwa kumlilia Mungu naimani wametamka Mungu ndani ya masaa yote hayo kumi.

Kama leo hii wanataka kuzihamisha kaya 400 kwa ajili ya mwekezaji, hao watu wawili wa kwenye ajali hiyo nini!
 
Mimi binafsi nafikiri umefika muda sisi Watanzania kuwa responsible na maisha yetu na mambo yanayotuhusu kwenye jamii zetu. Tunalalamika sana bila kupata suluhisho la Matatizo yanayotukabili katika maisha yetu ya kila siku.
Tumeweka ushabiki katika mambo ya Mipira...Big Brothers n.k na kusahahau mambo muhimu kwenye maisha yetu ya kila siku.

Asilimia 90 ya ajali zinazotokea na maafa hapa Tanzania zinatokana na UZEMBE uliopitiliza. Halafu sisi Watanzania tunabaki tukilalamika bila kuwa na mipango fasaha ya kutatua matatizo yetu.
Tusitegemee Serikali ikafanya kila kitu. Kwa sababu hao Viongozi/WanaSiasa wameshalewa na madaraka.

Tuacheni kulalamika Watanzania na tuchukue hatua madhubuti ili kujikomboa na haya MAJANGA.
Hii kazi ni yangu mimi...wewe na kila Mtanzania anayetaka mabadiliko na Maendeleo.
Tuache Ushabiki na lawama za kutupiana mipira. CHUKUA HATUA.

RIP MAREHEMU....POLENI SANA WAFIWA NA WATANZANIA WOTE MLIOGUSWA NA HILI JANGA.

Mkuu, hatua tutachukua ila kwa hili la ajali hii tuna kila sababu ya kusikitika na kulalamika.
 
Hii nchi ya ajabu sana,watu wamebanwa ndani ya ajali iringa baada ya malori kugongana,zaidi ya masaa 8,hakuna huduma ya kuwanasua,jana walikua wanaongea na kuomba msaada,leo tunaambiwa wamefariki.Hata dripu wangewekewa hapo hapo kwenye ajali wakati wanasubiri kunyofolewa.tanroads kazi kupima uzito tuu?kwa nini wasiwe na crane la kunyanyua magari kila baada ya umbali fulani?
BONGOLALA
Imeniuma sana kusikia wale majeruhi wamekufa wakijiona huku wakiomba msaada. Nasema imeniuma na kukata tamaa na kitengo cha maafa chini ya waziri mkuu. Nimewasikia mwenyewe jana wakihojiwa na mtangazaji wa ITV huku wakiomba kunasuliwa bila msaada. Majeruhi wale wapo pale zaidi ya masaa 16 na bado hakuna msaada mpaka wanakufa kweli CCM na serikali ina kazi kweli 2015 na bado wanasema watatawala hata miaka 50 ijayo!
 
Last edited by a moderator:
JK ambaye ghorofa likianguka anawahi kwenye tukio hakuwona hao kwenye TV?
 
Back
Top Bottom