Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
- Thread starter
- #261
Nadhani si rahisi kuzungumzia family planning method ukiwa na mtu unakutana nae mara moja moja
Ni tofaut sana kulinganisha na wanandoa,
Mnaweza tu kujikuta tukio fulani limewapelekea mpaka kwenye tendo bila kuplan
Ukihesabu unaona ni siku ya tisa unachukulia poa,
Mwishowe mtu ananasa.
Saa nyingine mtu anakojoa nje kumbe wazungu hawajaisha anachomeka tena,kitu kinanasa!




hatariii


