Hapana haina athari ukimeza kufuata masharti ya Dk...sema mimba unaweka chini ya uke na unameza chenyewe!!!kama kilivyo
Swali lako ulivyoliuliza lina content fulani kwamba hizo dawa unazijua na huenda uliwahi kutumia bila kujua. Ndiyo ukauliza "kumbe ndiyo zinatoa mimba"!
Hii ni miongoni mwa dawa zinazotolewa kwa idhini ya Daktari(Prescription only medicines) ndio maana zinauzwa kinyemela na ukikutwa unauza(hapa niseme kutoa, maana kuuza haijakatazwa sharti pawepo na ruhusa ya Daktari(prescription) ) hizi dawa bila idhini ya Daktari unapigwa faini.Sasa mbona Raynavero kasema zinauzwa kwa kuficha kama ni dawa za ulcer
Ooh,okayHii ni miongoni mwa dawa zinazotolewa kwa idhini ya Daktari(Prescription only medicines) ndio maana zinauzwa kinyemela na ukikutwa unauza(hapa niseme kutoa, maana kuuza haijakatazwa sharti pawepo na ruhusa ya Daktari(prescription) ) hizi dawa bila idhini ya Daktari unapigwa faini.
Nilichogundua hii ID ina tabia ya kukurupuka
Ukiwa mjazito halafu ukawa na ulcers, huruhusiwi kutumia hii dawa maana madhara yake ujauzito utatoka. Ila kama hauna ujauzito unaruhusiwa kuitumia ili utibu ulcersKwa hiyo haihusini na uzazi?
Mana kama inamezwa na mwenye vidonda vya tumbo ila akimeza mwenye mimba inatoka mana yake sio salama hata kwa wanaotumia kwa vidonda vya tumbo
Mkuu hazijawahi kunisaliti ila labda kwa kuwa sijaoa .Kikubwa ni kuangalia source ya Tatizo
Matumizi ya njia artificial nayo yamekuwa na gharama zake!
Njia za asili nazo muda mwingine zinasaliti!
Je tufanyeje?
Kama zinato mimba, hao wenye vidonda vya tumbo wanakuwa salama kweli wakimeza?Yes na ndio kazi kuu ya hivyo vidonge sema moja ya effect zake ni kutoa ujauzito sasa watu wameifanya rasmi kwa ajili ya kutoa ujauzito
Kila dawa ina faida na hasara zake ....vipi kuhusu mseto nao si unatumika kutibu malaria ila inaweza kuchoropoa mimbaKama zinato mimba, hao wenye vidonda vya tumbo wanakuwa salama kweli wakimeza?
Mdomo afanyaje ???? Apizz mdomoni??? Tobaa mama nakufa huu ujasiri hapanaKuna mmoja katoa sana mpaka sasa hivi hazai mtoto wa kwanza ana six yrs kila siku ananisumbua nimtafutie mitishamba , .
Walishauriana na mume wake ila sasa hivi mume anadai mtoto , na kuna tetesi jamaa ana mtoto nje .
Baada ya kuchoka kuweka mavidonge chini huko akaanza kutumia njia za kisaaa balaa lake sasa kila siku ugomvi hadi jamii inajua mume anamtukana hatari wakati ndo alishauri, .
Pia vipandikizi sijui mavijiti masindano siyo powa , ni bora kutumia njia ya asili kalenda , na wanaume tuwe na huruma kwa wanawake zetu , . wakati wa kufata hiyo kalenda.
Pia withdrawal iko powa mbona , umekaribia kuejaculate chomoa mpe kwa mdomo maliza shida zako ahakikishe wazungu wameisha kama unajiweza unaendeleza game , ili na yeye afike paradiso.
NA NYIE wanawake ndo muwe mnapanua hiyo midomo sasa, ili tufanye yetu humo kuepuka ugumba siyo kusema ati kinyaaa.
TUANGALIENI TUU JINSI TULIVYO SISI WANAUME
Umeanza ramli eeeeh yaani watu wa humu wanajua kutoa hukumu loooolSwali lako ulivyoliuliza lina content fulani kwamba hizo dawa unazijua na huenda uliwahi kutumia bila kujua. Ndiyo ukauliza "kumbe ndiyo zinatoa mimba"!
Umeanza ramli eeeeh yaani watu wa humu wanajua kutoa hukumu looool