Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Kikubwa ni kuangalia source ya Tatizo

Matumizi ya njia artificial nayo yamekuwa na gharama zake!

Njia za asili nazo muda mwingine zinasaliti!

Je tufanyeje?
Vibaya mnoo njia za asili hamna kabisaa naziogopa balaa
 
Kuna mmoja katoa sana mpaka sasa hivi hazai mtoto wa kwanza ana six yrs kila siku ananisumbua nimtafutie mitishamba , .
Walishauriana na mume wake ila sasa hivi mume anadai mtoto , na kuna tetesi jamaa ana mtoto nje .
Baada ya kuchoka kuweka mavidonge chini huko akaanza kutumia njia za kisaaa balaa lake sasa kila siku ugomvi hadi jamii inajua mume anamtukana hatari wakati ndo alishauri, .
Pia vipandikizi sijui mavijiti masindano siyo powa , ni bora kutumia njia ya asili kalenda , na wanaume tuwe na huruma kwa wanawake zetu , . wakati wa kufata hiyo kalenda.
Pia withdrawal iko powa mbona , umekaribia kuejaculate chomoa mpe kwa mdomo maliza shida zako ahakikishe wazungu wameisha kama unajiweza unaendeleza game , ili na yeye afike paradiso.
NA NYIE wanawake ndo muwe mnapanua hiyo midomo sasa, ili tufanye yetu humo kuepuka ugumba siyo kusema ati kinyaaa.
TUANGALIENI TUU JINSI TULIVYO SISI WANAUME


Aiseee
 
Hahaaaahaaa
Kuna mmoja katoa sana mpaka sasa hivi hazai mtoto wa kwanza ana six yrs kila siku ananisumbua nimtafutie mitishamba , .
Walishauriana na mume wake ila sasa hivi mume anadai mtoto , na kuna tetesi jamaa ana mtoto nje .
Baada ya kuchoka kuweka mavidonge chini huko akaanza kutumia njia za kisaaa balaa lake sasa kila siku ugomvi hadi jamii inajua mume anamtukana hatari wakati ndo alishauri, .


Pia vipandikizi sijui mavijiti masindano siyo powa , ni bora kutumia njia ya asili kalenda , na wanaume tuwe na huruma kwa wanawake zetu , . wakati wa kufata hiyo kalenda.

Pia withdrawal iko powa mbona , umekaribia kuejaculate chomoa mpe kwa mdomo maliza shida zako ahakikishe wazungu wameisha kama unajiweza unaendeleza game , ili na yeye afike paradiso.

NA NYIE wanawake ndo muwe mnapanua hiyo midomo sasa, ili tufanye yetu humo kuepuka ugumba siyo kusema ati kinyaaa.


TUANGALIENI TUU JINSI TULIVYO SISI WANAUME
 
Mkuu hazijawahi kunisaliti ila labda kwa kuwa sijaoa .

Nadhani si rahisi kuzungumzia family planning method ukiwa na mtu unakutana nae mara moja moja

Ni tofaut sana kulinganisha na wanandoa,

Mnaweza tu kujikuta tukio fulani limewapelekea mpaka kwenye tendo bila kuplan

Ukihesabu unaona ni siku ya tisa unachukulia poa,
Mwishowe mtu ananasa.

Saa nyingine mtu anakojoa nje kumbe wazungu hawajaisha anachomeka tena,kitu kinanasa!
 
Back
Top Bottom