Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Shida ni kuamuliwa maamuzi na jamii!

Wanawake kwa kifupi maamuzi yametushinda tunayabeba mengi sana ya jamii

Unasahau wewe binafsi unahitaji nini!!

Unakuta mtu kabeba mimba badala ya kwenda clinic anaenda kwa shogaake. Shoga anamwambia watu watakushangaa umebebanisha watoto,mara utambemenda mtoto!!
Kwa kukosa maamuzi anabeba maneno anakwenda kutoa mimba!

Hao wazungu wanaohubiri family planning ni waalimu wa kupishanisha watoto miezi! 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Shida ni kuamuliwa maamuzi na jamii!

Wanawake kwa kifupi maamuzi yametushinda tunayabeba mengi sana ya jamii

Unasahau wewe binafsi unahitaji nini!!

Unakuta mtu kabeba mimba badala ya kwenda clinic anaenda kwa shogaake. Shoga anamwambia watu watakushangaa umebebanisha watoto,mara utambemenda mtoto!!
Kwa kukosa maamuzi anabeba maneno anakwenda kutoa mimba!

Hao wazungu wanaohubiri family planning ni waalimu wa kupishanisha watoto miezi!
Haahhaaa...wao ndo waalimu kweli kabisaa yaani
 
Yes na ndio kazi kuu ya hivyo vidonge sema moja ya effect zake ni kutoa ujauzito sasa watu wameifanya rasmi kwa ajili ya kutoa ujauzito

Kwa hiyo haihusini na uzazi?

Mana kama inamezwa na mwenye vidonda vya tumbo ila akimeza mwenye mimba inatoka mana yake sio salama hata kwa wanaotumia kwa vidonda vya tumbo
 
Kwa hiyo haihusini na uzazi?

Mana kama inamezwa na mwenye vidonda vya tumbo ila akimeza mwenye mimba inatoka mana yake sio salama hata kwa wanaotumia kwa vidonda vya tumbo
Na umezaji wake kidogo kuna tofauti kwa ajili ya utowaji mimba unaviweka chini ya ulimi unameza mate ....kwa vidonda vya tumbo unameza na maji kama kawa
 
Labda sheria ya safe abortion ipitishwe ili sasa ufanyike salama kwa ushauri wa daktari au we unaonaje maana kuna wkati unalazimika kutoa kutokana na mazingira ya mimba
Safe abortion inaruhusiwa kuokoa mama km kuna shida kinyume na hapo sijui km itawezekana!
 
Back
Top Bottom