Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Uko vzr!!!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Na umezaji wake kidogo kuna tofauti kwa ajili ya utowaji mimba unaviweka chini ya ulimi unameza mate ....kwa vidonda vya tumbo unameza na maji kama kawa
 
Uko vzr!!!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hebu niache tafadhali[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Hapana haina athari ukimeza kufuata masharti ya Dk...sema mimba unaweka chini ya uke na unameza chenyewe!!!kama kilivyo
Kwa hiyo haihusini na uzazi?

Mana kama inamezwa na mwenye vidonda vya tumbo ila akimeza mwenye mimba inatoka mana yake sio salama hata kwa wanaotumia kwa vidonda vya tumbo
 
Dawa zinatoa mimba tena nafikiri ndo soko lake lipo huko!!!
Loh mkuuu kumbe me najua ni dawa ya ulcer inaenda sambamba na aspirin, ibuprofen, naproxen.
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!joanah pole na hongera!!!
Mie hata dawa zenyewe nimezisoma katika huu uzi
 
Hebu niache tafadhali[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Akuuu!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sijakushika miye
 
Naomba msinisute huo ndo ukweli sema kinachoua soo..ni kua inakua makubaliano yenu wawili kati ya mke na mume kwa kuhofia aidha km mna mtoto mdogo au hamko tayari kupata mtoto kwa wakati huo

Nna ushahidi japo wa ndoa zinazonizunguka kila mmoja kashapanchi aseehh!ukiuliza wanakuambia kwani si nafanya na Mme wangu...!!!Tena mwanaume ndo wanaenda kunnua hizo Misoprotol!!!!

Sasa km mkeo au mmeo kwa nini msitumie Kalenda au mpira..Mpira wanaume hawapendi kutumia kwa wake zao asilani!!!mwisho wanajikuta mimba juu ya mimba wanatoa...Mungu anawaona lakini mnaofanya hvyo na wake zenu!!!

Dhambi ni dhambi tu kuua ni kule kule kiumbe kisicho na hatia iwe ndoani au kwenye uzinzi hakuna aliyehalalishiwa...

Nyie wanaume saa ingine wake zenu wanatoa mimba bila nyie kujua maana wapo wanaume hiyo dhambi hawajui wanachofanya wanannua Misoprotol anameza unajua yuko hedhi kumbe tayari mama wa marehemu!!!

Tumieni kama kama hamko tayari kulea!
Hivi siku hizi misoprostol wanameza??[emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom