Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
YeahKabisaa yaani! Hata metakeflin ikimezwa ndivyo sivyo ina athari
YeahKabisaa yaani! Hata metakeflin ikimezwa ndivyo sivyo ina athari
Mie hata dawa zenyewe nimezisoma katika huu uziLoh mkuuu kumbe me najua ni dawa ya ulcer inaenda sambamba na aspirin, ibuprofen, naproxen.
Kwa hiyo haihusini na uzazi?
Mana kama inamezwa na mwenye vidonda vya tumbo ila akimeza mwenye mimba inatoka mana yake sio salama hata kwa wanaotumia kwa vidonda vya tumbo
Loh mkuuu kumbe me najua ni dawa ya ulcer inaenda sambamba na aspirin, ibuprofen, naproxen.






!!joanah pole na hongera!!!
Mie hata dawa zenyewe nimezisoma katika huu uzi
Wapi umeona nimeandika nimemeza?Sasa ulipomeza hukujua kazi yake?
Ngoja nikuongezee nyingine ili ziwe 2 CytotecMie hata dawa zenyewe nimezisoma katika huu uzi


Dawa zinatoa mimba tena nafikiri ndo soko lake lipo huko!!!!!joanah pole na hongera!!!
Balaa tena hawaogopi wala nini....halafu hao ndo mabingwa kuwasemanga wasioolewa
Kitanda akizai haram kwann watoe mimbaHahaaa...kwa nini?
Wapi umeona nimeandika nimemeza?
Hivi siku hizi misoprostol wanameza??Naomba msinisute huo ndo ukweli sema kinachoua soo..ni kua inakua makubaliano yenu wawili kati ya mke na mume kwa kuhofia aidha km mna mtoto mdogo au hamko tayari kupata mtoto kwa wakati huo
Nna ushahidi japo wa ndoa zinazonizunguka kila mmoja kashapanchi aseehh!ukiuliza wanakuambia kwani si nafanya na Mme wangu...!!!Tena mwanaume ndo wanaenda kunnua hizo Misoprotol!!!!
Sasa km mkeo au mmeo kwa nini msitumie Kalenda au mpira..Mpira wanaume hawapendi kutumia kwa wake zao asilani!!!mwisho wanajikuta mimba juu ya mimba wanatoa...Mungu anawaona lakini mnaofanya hvyo na wake zenu!!!
Dhambi ni dhambi tu kuua ni kule kule kiumbe kisicho na hatia iwe ndoani au kwenye uzinzi hakuna aliyehalalishiwa...
Nyie wanaume saa ingine wake zenu wanatoa mimba bila nyie kujua maana wapo wanaume hiyo dhambi hawajui wanachofanya wanannua Misoprotol anameza unajua yuko hedhi kumbe tayari mama wa marehemu!!!
Tumieni kama kama hamko tayari kulea!

