Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

romney-bodyguard_2388402b.jpg
 
Ahmedinejad na msafara wake, naona wako juu juu kweli sijui ndo wanamuogopa muisrael?

attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • iran1.jpg
    iran1.jpg
    34.7 KB · Views: 1,280
Huyo yuko wapi mkuu? Mlinzi ni Mungu tuuu! Yeye anasema asipo-ulinda mji huu waulindao wafanyakazi bure. WHY? Kwa kuwa wote wanakufa...isipokuwa Mungu peke yake ndiye wa milele!!!
Woote hao hawamfikii huyu na brigedi zake


0.jpg
 
Nifahamisheni jinsi ya kuweka picha ninazo nyingi sana za mitt romney na obama

attachment.php
 

Attachments

  • pic 1.jpg
    pic 1.jpg
    103.7 KB · Views: 1,047
Huyu Ahmadenijad kelele zote anatumia magari ya wamarekani?

Hana lolote, halafu nilikua sijashtukia hata mimi mbwembwe nyingi kumbe anatumia Chev za wamarekani! Naanza kumshushia heshima huyu
attachment.php


Hahaaa I just had to put this, nimeikuta kuna sehemu kumbe walikua wanamjadili tayari! Anajidai maneno meengi eti US and Israel(Zion anavyowaita) ni Satan agents but yet anajilinda kutumia Uzi gun ya Colonel S.
attachment.php


Hawa wanaitwa The Cobras wanatokea wing moja ya Military Police huko Serbia! Sitaki kuamini hawa ndo walikua wanamlinda Milosevic

Serb.jpg

Serb2.jpg
Serb3.jpg

View attachment 71688
 

Attachments

  • 610xrf.jpg
    610xrf.jpg
    48 KB · Views: 869
  • Uzi.jpg
    Uzi.jpg
    25.8 KB · Views: 877
Back
Top Bottom