Woote hao hawamfikii huyu na brigedi zake
Nifahamisheni jinsi ya kuweka picha ninazo nyingi sana za mitt romney na obama
Ahmedinejad na msafara wake, naona wako juu juu kweli sijui ndo wanamuogopa muisrael?
mbona umeweka hii vizuri tu...tumia njia hii hii arifu.....
Huyu Ahmadenijad kelele zote anatumia magari ya wamarekani?