Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

Mods/admin tafadhali kuna uwezekano wa kuifanya hiyo post ya kwanza isionekane?

Ogah, mie bado natamani sana jamaa wa PSU waje hapa watupe elimu kuhusu kazi yao, kuna forum mmoja nilikuwa nakwenda kabla haijafungwa wamejazana jamaa wa Close Protection kutoka sehemu mbali mbali duniani alafu wengi wao walikuwa wanajuana.

Chini hapo ni intro documentary ya secret service, ninayo kwenye dvd najaribu kuicompress na kuiupload online.

YouTube - National Geographic: Inside the U.S. Secret Service

........Kweli kabisa.....Mods ikiwezekana kwa hii thread kama mkiweza hiyo post ya kwanza isionekane kila page....mtu akiataka kuiona na aende page ya kwanza...........

Icadon,
trust me jamaa wapo hapa kwa sana tu........ila ni waoga sana........hawana confidence...............shule unayotoa hapa JF Mkuu inawasaidia sana.......kama ume-note kuna mambo fulani uliyazungumzia..........na immediately wakayafanyia kazi.........
 
........Kweli kabisa.....Mods ikiwezekana kwa hii thread kama mkiweza hiyo post ya kwanza isionekane kila page....mtu akiataka kuiona na aende page ya kwanza...........

Icadon,
trust me jamaa wapo hapa kwa sana tu........ila ni waoga sana........hawana confidence...............shule unayotoa hapa JF Mkuu inawasaidia sana.......kama ume-note kuna mambo fulani uliyazungumzia..........na immediately wakayafanyia kazi.........

te he!

kupunguza vitambi je?
 
te he!

kupunguza vitambi je?

........ndio maana inabidi wabadilishwe........maana jamaa wanakula safari na JK mpaka wanajisahau na wanaota vitambi.......teh teh teh teh

Unamkumbuka yule jamaa Mlinzi wa Mwalimu JKN......jamaa alikuwa anaonekana fit always...........

Mkuu Icadon.......hebu tuwekee mapicha ili tuanze kulinganisha appearences na hawa wa kwetu........
 
........ndio maana inabidi wabadilishwe........maana jamaa wanakula safari na JK mpaka wanajisahau na wanaota vitambi.......teh teh teh teh

Unamkumbuka yule jamaa Mlinzi wa Mwalimu JKN......jamaa alikuwa anaonekana fit always...........

Mkuu Icadon.......hebu tuwekee mapicha ili tuanze kulinganisha appearences na hawa wa kwetu........

amin_1.jpg

...walikuwa wembamba kama yeye na 'fit' hata kwenye 'tense moments' kama hizi! ...huyu field Marshall alikuwa hatabiriki, angeweza hata kumshushia konzi! :)
 
........ndio maana inabidi wabadilishwe........maana jamaa wanakula safari na JK mpaka wanajisahau na wanaota vitambi.......teh teh teh teh

Unamkumbuka yule jamaa Mlinzi wa Mwalimu JKN......jamaa alikuwa anaonekana fit always...........

Mkuu Icadon.......hebu tuwekee mapicha ili tuanze kulinganisha appearences na hawa wa kwetu........

Yule jamaa akijulikana kwa jina la Mwangota, alikuwa karate kwa kwenda mbele, fit and serious at all times, alikuwa na physique ya a no nonsense guy
 

Icadon,
naona jamaa amefunga vifungo vya suti yake.......hapo inakuwaje mambo yakiharibika

Halafu nimeona kule kwa Michuzi wakati wa ufunguzi wa mradi wa maji kule Shinyanga........mijamaa imejaa nyama za uzembe ile mbaya
 
All in all kama Rais kennedy wa marekani alivyowaambia watu wiki kabla ya kifo chake,Hakuna anayeweza zuia nisiuawe kama kuna aliyedhamiria kuniua,Kweli aliuawa na Le Harvey Katikakati ya walinzi.
Mbwembwe ni nyingi lakini sio guarantee ya uhai wa wamlindae,swala la akiri na ujanja linabaki palepale,kama sniper ni mjanja na anaakili kuliko walinzi watarajia nini...Hawana umuhimu kiasi wanachofikiri wanajivisha vitu vingi mwilini ili kuongeza utisho hilo laonyesha walivyo dhaifu.Wakati wao wanakuwa wamejaza masilaha na mawasiliano mwili mzima sniper huwa na siraha moja kamilifu na ujanja na maarifa...
Ukiangalia mazingira ya mauaji ya viongozi kawaida walinzi huwa hawakuyatarajia inaonyesha snipers wako hatua fulani mbele yao,Remember Carlos...
 
All in all kama Rais kennedy wa marekani alivyowaambia watu wiki kabla ya kifo chake,Hakuna anayeweza zuia nisiuawe kama kuna aliyedhamiria kuniua,Kweli aliuawa na Le Harvey Katikakati ya walinzi.
Mbwembwe ni nyingi lakini sio guarantee ya uhai wa wamlindae,swala la akiri na ujanja linabaki palepale,kama sniper ni mjanja na anaakili kuliko walinzi watarajia nini...Hawana umuhimu kiasi wanachofikiri wanajivisha vitu vingi mwilini ili kuongeza utisho hilo laonyesha walivyo dhaifu.Wakati wao wanakuwa wamejaza masilaha na mawasiliano mwili mzima sniper huwa na siraha moja kamilifu na ujanja na maarifa...
Ukiangalia mazingira ya mauaji ya viongozi kawaida walinzi huwa hawakuyatarajia inaonyesha snipers wako hatua fulani mbele yao,Remember Carlos...

Ndo maana inaitwa close protection. Pia ulinzi unategemea sana intelligence kwa kiasi kikubwa. Without intel ufanisi wao wa kazi ni mdogo. Kwa hiyo kwa wale assailant ambao wanajitegemea huwa inakuwa vigumu kuwathibiti. Kama ni kitu cha kupangwa huwa kinainvolve zaidi ya mtu mmoja na hapo ndo intel inapoanza kupatikana. Pia snipers huwa ni professional killers ambao unaweza kukuta ni former special forces kwa nchi za wenzetu. Hawa ni individuals wenye mafunzo ya hali ya juu. Sasa kuweza kudeal na snipers lazima na wewe kwenye team yako uwe na watu ambao walishakuwa special forces. A bodyguard mwenye training ya kawaida hawezi kukabiliana nao. Mfano kuna range ambayo wanatakiwa kukocover kiasi kwamba inakuwa out of range kwa sniper. Pia lazima wawe wameispot zile area na ku identify possible position ambazo sniper anaweza kukaa na akapata shapaha vizuri. sniper huwa hakai tu sehemu yoyote huwa anachagua position. kama position ipo outside of the range basi lazima identify kama wind inaweza ikamfavor. Sasa watu wa protection huwa ndo maana wanatakiwa kuwa wamefika mahali na kupakagua kabla principal hajafika. Kila oparesheni moja ya ulinzi huwa ina details zake na huwa ni siri. Ikatokea mtu mmoja ndani ya protection details akaleak information ya code names na jinsi operasheni nzima itavyokuwa hiyo tayari ni security breach ambayo inaweza ku mfavour assailant. Huo ndiyo uelewa wangu mdogo wa haya mambo. Sna uhakika sana. ni vitu tu amabavyo nimevisoma kwenye majarida na mitandao kwa hiyo wazee kama mpo humu ndani mnisamehe tu
 
All in all kama Rais kennedy wa marekani alivyowaambia watu wiki kabla ya kifo chake,Hakuna anayeweza zuia nisiuawe kama kuna aliyedhamiria kuniua,Kweli aliuawa na Le Harvey Katikakati ya walinzi.
Mbwembwe ni nyingi lakini sio guarantee ya uhai wa wamlindae,swala la akiri na ujanja linabaki palepale,kama sniper ni mjanja na anaakili kuliko walinzi watarajia nini...Hawana umuhimu kiasi wanachofikiri wanajivisha vitu vingi mwilini ili kuongeza utisho hilo laonyesha walivyo dhaifu.Wakati wao wanakuwa wamejaza masilaha na mawasiliano mwili mzima sniper huwa na siraha moja kamilifu na ujanja na maarifa...
Ukiangalia mazingira ya mauaji ya viongozi kawaida walinzi huwa hawakuyatarajia inaonyesha snipers wako hatua fulani mbele yao,Remember Carlos...

Tangu kuuliwa kwa Kennedy ni marais wangapi duniani wameuliwa na snipers?
 
Angalia tofauti ya thickness ya milango ya magari.

3215818455_2dd6313104_o.jpg

610x.jpg

...Michele Obama kavaa kikuku? :D

Elizabeth Queen of UK 'sio' target sana, kumdhuru Bi Kizee huyu ni kujitafutia dhambi za bure tu.
 
Icadon,

Jaluo yuko Saudia......tuwekee mavitus mwanangu....namcheki hapa ile amekaa tu na kuletewa gahawa....lol
 
Ni ukweli tu utao waweka HURU na watakuwa HURU kweli, lakini si kwa kulundika watu eti wanawalinda...Intelligence of people responsible matters alot,kama hapa kwetu wamejazana watoto wa nani na nani kwenye unit bila kujali uwezo wao wa kufikiri unategemea hao wawe walinzi wazuri au ni mazingira masafi kwa viongozi wenyewe kuliko umahiri wa walinzi kunakofanya kusiwepo mauaji ya vigogo,Remember Mzee Ruksa saga
 
Tangu kuuliwa kwa Kennedy ni marais wangapi duniani wameuliwa na snipers?
Ukimaanisha ni ushujaa wa walinzi kwa vile hakuna marais waliouawa au ? Kwani ni matukio mangapi ambayo sifa ziwaendee walinzi tangu Kennedy...achilia mbali kukamata wale wanao'shout' kwa marais
 
Icadon,
naona jamaa amefunga vifungo vya suti yake.......hapo inakuwaje mambo yakiharibika

Halafu nimeona kule kwa Michuzi wakati wa ufunguzi wa mradi wa maji kule Shinyanga........mijamaa imejaa nyama za uzembe ile mbaya


Ogah,

..hata mimi nimeshangaa mlinzi wa Mwalimu kufunga vifungo vya koti lake.

..hivi mara nyingine hawa si walikuwa hata wakimuiga kuvaa kaunda suti?!

NB:

..mara ya mwisho nilimuona jamaa akimlinda Mzee Laurent Kabila wakati anaapishwa kuwa Raisi wa DRC.
 

Rais Jakaya Kikwete, Rais wa Zanzibar, Amani Karume na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakitazama trekta dogo (Powe Tiller) lililotengenezwa na Shirika la Nyumbu la Kibaha katika mkutano wa kujadili maendeleo ya kilimo wa Kilimo kwanza, uliofunguliwa na Rais kwenye hoteli ya Kunduchi jijini Dar es Salaam Juni 2, 2009.

Hapo vipi, mbona hawa (11) pichani 'wapo' mbali sana? hako ka trekta kangelipuka je? :)

 
Back
Top Bottom