Baada ya kutopatikana kwa ile thread nimegundua kuwa kwenye external server yangu niliserve ile thread hivyo nimeona si vibaya kuirudisha tena
Sasa tunauomba msiifte hii thread tena
By the way bila mwenzetu ICADON hiii thread isingekwepo so props to ICADON
this is former Polish Prez's detail
the pope
ni hovyoVipi ya Tanzania ??
uzi wa kitambo sana huu, check fbi