Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Huyu Gadafi ni jeuri by nature. Mimi nadhani kutokana na dini yetu ya kiisilam wanawake wanatakiwa wajistiri, yeye wale wanawake zake ambao anaiwaita Amazonian mbona hawajavaa Nikab (ninja)? au hawako kwenye full hijab?
Hapa kuna politics within, sema mwenyezi mungu amuongoze kwa kutuongezea sehemu ya ibada. Lather than that, inasikitisha kuona watu wanapotumia religion for their own politcis purposes. At the end of the day normal civilians become loosers.
Jakaya yupo mbuga za Serengeti, anajua kabisa Bush ni mshikaji wake na Bush anafuatilia nyendo zake. Sasa akisikia alikuwepo karibu na Gadafi, hahahaha you do the math. Atawekwa kwenye watch list.
Hapa kuna politics within, sema mwenyezi mungu amuongoze kwa kutuongezea sehemu ya ibada. Lather than that, inasikitisha kuona watu wanapotumia religion for their own politcis purposes. At the end of the day normal civilians become loosers.
Jakaya yupo mbuga za Serengeti, anajua kabisa Bush ni mshikaji wake na Bush anafuatilia nyendo zake. Sasa akisikia alikuwepo karibu na Gadafi, hahahaha you do the math. Atawekwa kwenye watch list.