Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 171
Mkuu Lunyungu any update za Comoro?
Mkuu Lunyungu any update za Comoro?
Ni kweli..lakini this time wao waarabu wanaamini kuwa this is the new crusade..na wanataka waumini wao na raia wote wa dunia waliangalie hilo suala kimtizamo huo!Kwamba Bush na marekani wanapigana vita dhidi ya uislam!N kwa Gadhafi..kutokana na kibri aliyonayo yeye sasa anapigania uislam kanda hii ya Afrika na anachukizwa na ukumbatiwaji wa Bush na westinism?Swali ni moja hapa.."where are we going to stand?"Kawaida ya waarabu ni ufedhuli na ujeuri hiyo ni silka yao, sidhani kama Gadaffi kajenga huo msikiti kwa nia ya kuuendeleza uislamu bali ni katika kuonesha fahari kama ilivyo kawaida ya jamaa zetu hao. kwa sababu kutoa katika misingi ya kiislamu ni kwamba utowe kwa siri na sio kuutangazia umma au ulimwengu wote ukajua kama alivyofanya yeye.
kitu chengine ambacho kinanishangaza kwa hawa watu misaada ambayo wao naona ni bigdeal ni kujenga misikiti tu, wakati kuna mambo mengi wanaweza kusaidia kama kweli wao ni watu wa msaada. kuna waislamu wengi tu masikini hawana uwezo wa hata kusomesha watoto wao, kuna mayatima lakini sijaona misaada katika channel hiyo.
Mkuu wa mkoa anakuwa na bodygadi?
nashauri ghadaffi asikanyage tanzania...hivi alikuja kumzika mwalimu??..nakumbuka ali,pa pesa mwlimu ya kujenga msikiti wa butiama...akitaka anaweza kujenga misikiti yote hapa ..lakini hawezi kuja kuifungua kwenye ziara ya kiserekali..kwa kuwa nchi yetu haina dini..na hatuataki vurugu...
Walinzi wa George W waliwakwida wenyeji wao? Walinzi wake wamemkamata nani nchini mwetu?
George W kwa Afrika amekuwa rafiki mzuri. Ni yeye aliyeongeza bajeti ya msaada kwa kontinenti letu kuliko hata huyo kipenzi chetu Bill. George W alipokuwa kwetu lichanganyikana na watu bila matatizo. George W anatusaidia katika vita vyetu dhidi ya Malaria, ugonjwa unaoua kuliko ukimwi. Kwa nini basi tusimkaribishe? Hauwezi kukubaliana na hata rafiki yako katika kila jambo.
FONT]
Kutuma majeshi hakumaanishi zaidi ya utamaduni wa kiafrika,Tz walituma majeshi sehemu nyingi tu na mpaka leo wanatuma,ufahamu kua uswahiba tu ndio unaosababisha,kwani kuvunjika kwa East Africa si kuna fedha hazikurudishwa na magari kibao yalitaifishwa,mbona nchi zilizochukua feza hiyo hazijaombana samahani na urafiki umirudi. Pili tukubali kuwa mabodi gadi na wapambe wa Gadafi wako makini ukilinganisha na wakwetu ambao Raisi anakabidhiwa Cheki feki na kupigwa picha na kufikia hadi picha kuchapishwa hakuna aliezinduka mpaka jamaa wa JF walipositua ndio ukasikia na wao wanapiga makelele.Huyu Gadafi hata kama ana urafiki na sisi ni wa kinafiki tu...wakati wa vita na Idi Amin si alituma majeshi yake kumsaidia Amin,sasa sijui kama alishatuomba msamaha au vipi.
Hawa mabodigadi nao kupigana ni poa tu,maana wanafanya mazoezi sana.Sasa kama wanakosa mtu wa kutishia maisha ya kiongozi wao,si ni bora wafuane wenyewe tu.Maana wengi huwa wanakaa na viongozi wao,mpaka wanastaafu bila ya kasheshe lolote,hata mlipuko wa tyre burst wa kuwashtua kidogo hakuna!
Huku kwetu kuna mabodigadi ukiona wana vitambi wengine,sasa kama issue ndio ya kusukumana,duh!
Bora wakijenga misikiti kuliko wakileta kitita cha feza wagaiwe mayatima na masikini ,eti wabongo si tunajuana maana hata wazungu siku hizi wametusitukia ,wanaleta matofali badala ya feza ,kule zenji nasikia Kajima walipojenga bara bara na madaraja simenti walioyoileta ilikuwa spesho yaani ukiiba ukifika nayo nyumbani inageuka jiwe ,jamaa walishindwa kuiiba baada ya kuona kuna kemiko inabidi ziwepo ili uweze kuitumia.Kawaida ya waarabu ni ufedhuli na ujeuri hiyo ni silka yao, sidhani kama Gadaffi kajenga huo msikiti kwa nia ya kuuendeleza uislamu bali ni katika kuonesha fahari kama ilivyo kawaida ya jamaa zetu hao. kwa sababu kutoa katika misingi ya kiislamu ni kwamba utowe kwa siri na sio kuutangazia umma au ulimwengu wote ukajua kama alivyofanya yeye.
kitu chengine ambacho kinanishangaza kwa hawa watu misaada ambayo wao naona ni bigdeal ni kujenga misikiti tu, wakati kuna mambo mengi wanaweza kusaidia kama kweli wao ni watu wa msaada. kuna waislamu wengi tu masikini hawana uwezo wa hata kusomesha watoto wao, kuna mayatima lakini sijaona misaada katika channel hiyo.
Hivi Bush anapokuja tembelea nchi zetu naye ma body guard wake hunyang'anywa silaha na kubakia na hizo pistol 8?..
Nauliza tu nipate kufahamu kama kuna sheria maalum ya kimataifa na Marekani hukiuka.
Kazi kwelikweli........
Hivi ndugu yangu hujui kuwa sio tu watanzania tisa walikamatwa kwa amri ya hawa jamaa lakini hata mfumo mzima wa usalama wa nchi tuliwakabidhi na watu wetu wakaenda likizo....
Tanzanianjema
Ona askari wa kimarekani wakiwa juu ya paa la ikulu ya magogoniHivi Bush anapokuja tembelea nchi zetu naye ma body guard wake hunyang'anywa silaha na kubakia na hizo pistol 8?..
Nauliza tu nipate kufahamu kama kuna sheria maalum ya kimataifa na Marekani hukiuka.
Ona askari wa kimarekani wakiwa juu ya paa la ikulu ya magogoni
......hivi huyo Shein alikuwa kabeba mkasi wake wa kukatia utepe?? au?
......isije ikawa wamemsukuma baada ya kujisahau na kutaka kukata utepe wakati yeye si mgeni rasmi( maana nasikia imekuwa kama reflex action ya knee jerk of some sort kati yake na tepe...)
.......kukosa kazi za kufanya, ya msikiti tu, tena uloanza kujengwa na dikteta, una draw viongozi wa nchi 11 kati ufunguzi wake?? mie pia ni muislam, lakini hii ni ridiculous!! aibu kwa afrika na aibu kwa tanzania, yaani ile kuthubutu kumtuma makamo wake wa raisi ktk ufunguzi wa msikiti ktk nchi jirani. yaani wataka kusema haya ni matumizi halali ya fweza za walipa kodi!!??? ama kweli gademu, na hivi ndivyo tulivyo...GD Tanzania!.