Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,646
Huvu humu kuna walimu kweli?
<br /><b>kumbe ndo maana siolewi bwana ngoja nibadilishe fani naenda ualimu wa chekechea kabisa</b>
Teh teh teh hii kweli NYUMBA KUBWA.Japokuwa walimu ni wake wazuri haina maana sisi wengine hatuna soko; ndio maana tumeolewa ila wame zetu cha moto wanakiona!
Hiyo nyekundu unaweza kuithibitisha vipi??Thanks mkuu, mie pia ni mhandisi na wadada wote nlomaliza nao wameshaolewa. Sema wameolewa na wanaume pia walio na either elimu sawa au wamewazidi elimu kidogo. And they are doing well both kazini na nyumbani
Wewe bana Nyani hii muswali inahitaji majibu kweli. Mkuu hapa hakuna mwalimu, kwanza wako bize wanapalilia ndoa zao (Ngoja kina Lizzy, AshaDii waione hii hehehehe............)Huvu humu kuna walimu kweli?
Je huoni kama likizo ya wanafunzi automatically ni likizo ya Mwalimu? Yes atakuwa jirani na mazingira ya Shule lakini anakuwa free zaidi kufanya mambo yake. Mfano kuna likizo za wanafunzi zinaenda hadi wiki 6 nazo ni mara mbili kwa mwaka, ongeza midterm 2, sikukuu na wikiend ambazo wengine tunaweza kuwa job.<br />
<br />
Si kweli kuwa Mwl ana likizo nyingine ya kawaida mbali na hizo mbili kubwa za wanafunzi. Kwa mujibu wa Teachers' Service Scheme ya mwaka 2008, Mwalimu anaruhusiwa kuchukua likizo ya mwaka ambayo ni 28days wanafunzi wanapokuwa likizo ndefu i.e Juni au Desemba kwa wale wa darasa la kwanza mpaka form four. Hivyo basi kiuhalisia na kwa mujibu wa Scheme hyo likizo ya pili hatakiwi kuwa mbali na mazingira ya kazi, anaweza kuhitajika kuwepo kazini kwa kazi nyingine.
Back 2the point, ni kweli mwalimu mwanamke ni mke bora kwani ni walezi wazuri wa familia hasa wale wa Primary Education.
Halafu hawa mabinti wa benki wanakuwa kwenye ushawishi mkubwa wa mshiko, maana wanafahamiana na mapedeshezee wanaotumia huduma za benki zao. Ni hatari sana hapa................unajua ukumuoa mfanyakazi wa Benki akizaa mtoto atapata utapiamlo kwa sababu akiingia saa 12 asubuhi anarudi saa mbili usiku. lakini mwalimu ana muda mwingi wa kulea mtoto. vilevile mwalimu ana elimu ya malezi na maadili kuliko banker ndio maana wengi wanakimbilia kumuoa teachera au nurse
<br><br>Hii nakubaliana nawe ujiuji oooooh!bujibuji.Unajua hata kipind mi niko chuo,vijana wengi walikuwa wanapropose kuoa walimu,sababu zao zikiwa ni hizi<br>
1. Niwavumilivu wana uwezo wa kushi mazingira yoyote<br>
2. Ni watu wabajeti sana,yaani wanajua kuipangilia fedha.<br>
3. Kazi yao haina interaction na mabazazi wa wake za watu maofisin kama ilivyo ofisi nyingine,kwan mara nying staff za walimu zina walimu wa kike.hvyo social interaction yake ni yeye na wanafunzi zaid na familia zao<br>
3. Ukioa mwalimu lazima wanao watasoma hata angalau f4 kwani wanaona fetheha yeye kuwa mwalimu halafu asiwe na mtoto hata mmoja aliyesoma hivyo wako radhi hata kuba paper ilimrad mwanae afaulu.
Wa benki kwanza wanachungulia account yako imekaaje !!!!!!! Ina dbit balance au credit. Transaction zinaendaje.
ukiongezea hapo pia inasadikika kua katika sekta mbalimbali za kiserikali sekta ya ualimu hasa wa shule za msingi ndo ya chini kabisa, hivuo unapomuoa mwalimu wewe na proffession yako inayoonekana iko juu na wanajamii basi italeta picha inayoeleweka kuliko kumuoa mwanamke mwenye proff inayoheshimika kuliko ya mwanaumeHii nakubaliana nawe ujiuji oooooh!bujibuji.Unajua hata kipind mi niko chuo,vijana wengi walikuwa wanapropose kuoa walimu,sababu zao zikiwa ni hizi
1. Niwavumilivu wana uwezo wa kushi mazingira yoyote
2. Ni watu wabajeti sana,yaani wanajua kuipangilia fedha.
3. Kazi yao haina interaction na mabazazi wa wake za watu maofisin kama ilivyo ofisi nyingine,kwan mara nying staff za walimu zina walimu wa kike.hvyo social interaction yake ni yeye na wanafunzi zaid na familia zao
3. Ukioa mwalimu lazima wanao watasoma hata angalau f4 kwani wanaona fetheha yeye kuwa mwalimu halafu asiwe na mtoto hata mmoja aliyesoma hivyo wako radhi hata kuba paper ilimrad mwanae afaulu.
<br />Kusema ukweli mimi si mwalimu ila kweli walimu wazuri, as long as una kipato cha kutosha nashauri uoe mwalimu wana muda na wanajua saikolojia ya kulea watoto. Tatizo kama kipato chako kama changu maisha yatakuwa magumu ukioa teacher.
<br />Mhhhh kwa hiyo wengine hapa ni galasha tu au?
Very complex,nadhan psychiatry medicine huwa inawavuruga akili,they thnk they know everythng,i had a girl at Muhas by then,nili mdamp kulee!<br />
<br /><b>kumbe ndo maana siolewi bwana ngoja nibadilishe fani naenda ualimu wa chekechea kabisa</b>