Walimu waongoza kwa kuolewa ukilinganisha na sekta nyingine

MKuu manesi ni wake wazuri ninaposhindwa ni night.


Unajua kazi ya ualimu, hususan ualimu wa chekechea na shule ya msingi ni lazima uwe na upendo wa kweli na watu hasa watoto. Sasa huo upendo una trickle down hadi kwenye mapenzi ya kindoa.

Kuwa mwalimu wa chekechea au msingi halafu usiwe na subira na upendo basi wewe utakuwa uko kwenye hiyo fani kuchukua paycheck tu.

Pia manesi nao huwa ni wake wazuri sana. Tena hawa mimi nadhani wanakuwaga wake wazuri mno kushinda hata walimu.
 
Wako fit saaana na akili zao zimetulia kinoma...psycology yao inawafanya kuelewa na kuwa flexible hata linapokuja tatzo lolote bado unaweza kumwachia familia na akaidrive on......my God! Are actressless na they are really role models to all women around the world,Exactly.
 
<span style="font-family: comic sans ms">Wengi wao wana maadili.</span>
<br />
<br /
Hiyo ni kweli hata walimu wengi ninaowafahamu wameolewa. Pamoja na maadili lakini naona hata kwa malezi ya watoto maana hawana semina na safari za mara kwa mara
 
Pia msisahau kuwa wasichana wengi wazuri huwa hazichaji sana darasani kwahiyo wengi wao huishia kuwa walimu wa shule za msingi na sekondari kama amejivuta kidogo. Ukitaka kuthibitisha hili tembelea vyuo vya ualimu utafikiri wasichana wazuri walichujwa wakapelekwa huko.
 
True, wanaume wazembe hukimbilia wanawake kama walimu ili wawaonee vizuri. Mie binafsi naona walimu hawana changamoto kwanza wanaboa, they r too overdecent.
<br />
<br />
tatizo lenu mnapeleka hadi vitu vya kwenye siasa ndani ya ndoa,stress zako za kazini unataka umalizie kwa mmeo! Yaani nyie ni shida tupu!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /<br />
Hiyo ni kweli hata walimu wengi ninaowafahamu wameolewa. Pamoja na maadili lakini naona hata kwa malezi ya watoto maana hawana semina na safari za mara kwa mara
<br />
<br />
yaani mwalimu hata ikiwa abruptly marriage maisha murua!
 
Pia msisahau kuwa wasichana wengi wazuri huwa hazichaji sana darasani kwahiyo wengi wao huishia kuwa walimu wa shule za msingi na sekondari kama amejivuta kidogo. Ukitaka kuthibitisha hili tembelea vyuo vya ualimu utafikiri wasichana wazuri walichujwa wakapelekwa huko.
<br />
<br />
mbona social sciences kuna wanawake wazuri sana. Au nao ni vilaza?
 
Mimi na wakubali sana walimu, hapo nyumba target yangu ilikua kuoa mwalimu lakini naona mambo yame change nimejikuta na mtu mwingine kabisa. But waalimu is mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
 
Mkuu bujibuji yaani nafanya mpango huo, naona ndo sehemu pekee ninayoweza kujisikia nimeoa. Huko kwingine, hakufai ni wasumbufu, wako busy, ukioa hakuna tofauti na maisha ya geto ingawa si wote.

hata walimu wa kike nao wanajisikia kama hawajaolewa wanapopata na waume wasumbufu, waliobusy; wanajihisi single mother anayepata child support!
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom