Kiplayer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,347
- 2,212
Nimekubali!Nonsense huna hoja inayoeleweka, ukubali tu umeandika ujinga na unakuja kutetea ujinga kwa hoja zisizoeleweka.
Nimekubali!Nonsense huna hoja inayoeleweka, ukubali tu umeandika ujinga na unakuja kutetea ujinga kwa hoja zisizoeleweka.
Asante, ni vile unataka boom kwa ajili ya matanuzi na sio kukusaidia katika elimu yako!!Hata hivyo pole sana na check na viongozi wako wa TAHALISOHuna hoja fala ww
Huo sio kwa ajili ya kuwasidia wazazi wako kulea familiaKama unajua matumizi yangu ndo uniambie hayo mambo
Walau sasa umeanza kurudiwa na akili! Ulidhani hapa utapata huruma ya wananchi? kaa chonjo wewe!!Fala nini?? Nani kakwambie tunalelea familia, nenda kasome na ww pia ili upewe uwape wazazi wako
Labda kama una plan zako zingine ambazo una uhakika hutobananishwa baadae. Maana wakikubananisha utafurahi na nafsi yako na boonge la fain.Siyo lazima urudishe
Wap ww, saiv mtu unamalza chuo unakaa mtaani miaka zaid ya 6 bila ajiri haya ukiajiriwa labda una miaka 35 unafanya kaz miaka 25 pekee unasitafu hapo c bora upambane ili usiajiriwe tuLabda kama una plan zako zingine ambazo una uhakika hutobananishwa baadae. Maana wakikubananisha utafurahi na nafsi yako na boonge la fain.
Haya.Wap ww, saiv mtu unamalza chuo unakaa mtaani miaka zaid ya 6 bila ajiri haya ukiajiriwa labda una miaka 35 unafanya kaz miaka 25 pekee unasitafu hapo c bora upambane ili usiajiriwe tu
Ok!,km ni hivyo basi amekosea maana kuna maisha baada ya kukosa bumu.Anataka kunywa sumu board ya mikopo imepunguza bumu asilimia kubwa,na Mimi namshauri ajiandae kisaikolojia maana maisha ya chuo huanza graduate akiwa mtaani