Kuna wanaume wana asili ya kupiga hao kikosa kidogoo mama...ngumiiii
Wengine wanawake wenyewe wanasababisha wapigwe wana midomoooo na wanaume hawapendi midomo midomo
Aisee hapo umeongea ukweli,labda nikuchanganulie zaidi ME ni wa Type kuu 2.
Type1.Wapole
Type2.Wakaksi/Kavu
Type 1:
Hili kundi la ME wako Loyal na emotional, huyumbishwa sana kwenye mapenzi na huvumilia sana visa vya mwanamke na wengi wakishapenda wanaendeshwaga kama gari bovu! Rahisi kutoa attention kwa wapenzi wao, huruma sana na wengi wapo romantic. Hili kundi ndio wengi husumbuliwa na mahusiano hasa ku deal na emotion za wanawake na KE wengi huishia kuwa dump baada ya kuwaona kama hawana jipya ama maboya tu ila kihalisia wengi ndio wanaume wazuri zaidi wa kuwa nao serious. Inshort jamaa wako very diplomatic.
Mara chache hutokea hawa ME wakabadilika na kuwa Type 2 na hii ni kutokana na kuchoka kuishi maisha ya kimbuzi na kupelekeshwa na ma stress. Wanapofikia katika stage ya ukombozi wa fikra baada ya mateso makali kihisia ndio wanapobadilika na mabadiliko huja na ama ignore attitude ama kipigo, you get served with what suits you best.
Type2:
Hili ni kundi la wanaume ambao ni kavu (emotion-less) in nature na wengi sio romantic hawapendagi mambo ya baisho-i-love-you-baby. Ukiona simu yake ujue ni za ishu za maana sio kusifiana ujinga ama kubebishana. Wao ni kazi tu mapenzi sio kipaumbele kwao.
Hawa jamaa wa kundi hili huwa wana asili ya misimamo sana na hawayumbishwagi na KE na wengi ndio wapigaji na ignorers. Akikuchana makavu ukamnunia eti akupe attention unajisumbua anakupotezea wala hajali. Ukijifanya mjuaji anakukata makofi halafu anapiga kimya, akikuonea huruma sana ujue ataishia kukukaza kama kifuta machozi. Ukimbania K haulizi mara mbili anakamata mama kitaa cha pili anaenda kujipooza, akikufuma umecheat hana mjadala anakupiga chini tu.
Ajabu ni kuwa hili kundi la pili ndio hupendwa zaidi na wanawake wengi regardless ya treatment ya kimafia ila ukiwauliza wanawake 7 katika 10 watakwambia tunataka mwanaume wa Type 1.