agprogrammer
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 468
- 362
Hongera bibieSijawahi kupigwa na wazazi wangu wala mume wangu
Hongera bibieSijawahi kupigwa na wazazi wangu wala mume wangu
Umeolewa kwanza?ingia ndoani ndio ujue kero za viumbe hawa wa kike,Unajisikiaje unapompiga mke wako, mama wa watoto wako na watoto wanakuona? Bila haya na usiku unaomba match.
Karibuni
Ujinga huoUkiona mtu anakupiga ujue anakupenda na anaumia sana na ujinga unaoufanya.
Hata watu wa dini husema mungu huwapa wapendwa wake majaribu kama ishara ya kuwarejesha wamjue na kumuabudu yeye.
Mi mwanaume akisema anipige anakosea maana ananifanya niwe mkorofi nanikishikwa hasira natumia silaha yoyote au tuachane tu mi cwezi huo ujingaWewe wajua hvyo
Wanaume hizo adhabu wao hawana mda nazo hasira zikishakaba ngumi Tu tunapigwa
Bila shaka leo umepokea kichapo,njoo hapa free point nikuliwaze bibieUnajisikiaje unapompiga mke wako, mama wa watoto wako na watoto wanakuona? Bila haya na usiku unaomba match.
Karibuni
Kumpiga mwanamke ni ushamba, ulimbukeni na uswahili uliotukuka.Unajisikiaje unapompiga mke wako, mama wa watoto wako na watoto wanakuona? Bila haya na usiku unaomba match.
Karibuni
Hivi kweli siku hizi kuna wapigaji???Unajisikiaje unapompiga mke wako, mama wa watoto wako na watoto wanakuona? Bila haya na usiku unaomba match.
Karibuni
Wanyama wanapenda wake zao sisi hizi hasira za kuoiga sijui tumezitoa wapi
Sema nyie walokole ndio maanaWewe Soweto pokea kichapo
Nikuulize: Hivi kama Mme ndo anapigwa na kutukanwa kwa zarau tena matusi mabaya sana mbele ya hao hao watoto. Je? Wewe ungekuwa mwanaume unafikiri ungefanya nini kwa mfano?Unajisikiaje unapompiga mke wako, mama wa watoto wako na watoto wanakuona? Bila haya na usiku unaomba match.
Karibuni
Mpaka inafikia hali hiyo ni kheri kuwa kwenu pamoja kunaathiri watotoNikuulize: Hivi kama Mme ndo anapigwa na kutukanwa kwa zarau tena matusi mabaya sana mbele ya hao hao watoto. Je? Wewe ungekuwa mwanaume unafikiri ungefanya nini kwa mfano?
NB: Si kila anaepiga/kuchapa anapenda wengine hulazimika tu na mazingira ya namna hiyo/yasiyo epukika.
Any way, kuna mwana falsafa mmoja alieleza maana ya neno "love" nafikiri yuko sahihi sana, namnukuu Mkuu. "Love is a serious mental disease".Mpaka inafikia hali hiyo ni kheri kuwa kwenu pamoja kunaathiri watoto