Wale wanaume mnaopiga wake zenu

Wale wanaume mnaopiga wake zenu

Kupigana(kumpiga mwanamke)huwa ni kitendo kidogo sana cha kupishana kauli tu na kushindwa kudhibiti hasira,wanawake huwa tunawachukulia kama watoto hayupo mwanaume anayeweza kujibizana na mtoto na tunapowapiga siyo kwamba hatuwapendi bali nikuonyana tu kwa vitendo kwangu mm ni hivyo wengine wataongezea

Mkuu yatupasa kuzizuia hasira zetu kama wanaume, yani Kofi kabisa la maana unampiga mtoto wa kike?? Daaaah inauma
 
Tukiweka katika asilimia kuhusu kupigwa wake

30% Ulevi wa mume
60% Maneno yanayokera kutoka kwa wake
5% Mwanamke kuchepuka
5% sababu nyinginezo
Hii ya kuchepuka hapigwi cheif zarau hizo azabu yake ni moja tu
 
Hivi mnafikiri tuna enjoy sex baada ya kipigo?
Hii nakupinga kuna rafiki yangu tulipisha kauli nikachukia nikamramba vibao hafu nikasepa akanifata kuniomba msaamaha nlipokubali akanipa kumbato zito na kushika chini yupo ndembendembe siku hiyo ndo alitoa mzigo kuliko siku zoteeee
 
" mwanamke hapigwi kwa upinde wa panga wala khanga _"

In harmonize's voice....
 
Back
Top Bottom