Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
siku moja jaribu kunyanyua mwiko!!!Naamini katika mapenzi ya dhati hakuna kupigana,kupo kuelekezana tu!Hivi kwani wanaume hamtukosei? je na sie tuwapige na miiko ya ugali eh?
siku moja jaribu kunyanyua mwiko!!!Naamini katika mapenzi ya dhati hakuna kupigana,kupo kuelekezana tu!Hivi kwani wanaume hamtukosei? je na sie tuwapige na miiko ya ugali eh?
hahah najua atanipiga keleb,ila nami lazima niirudishie nikiwa nje ya mlango lol,siku moja jaribu kunyanyua mwiko!!!
Hatukoseagi, teh!Na nyie mkikosea mnapigwa na nani?
ha ha ha ha.... waswahili mnapenda kufight !!hahah najua atanipiga keleb,ila nami lazima niirudishie nikiwa nje ya mlango lol,
Ila mnakuaga na maudhi sometimes, daah!!Unampiga mtu ambae hana nguvu za kukurudishia kipigo
hahahah au ulitegemea nitegeshe uso vizuri nizabuliwe?ha ha ha ha.... waswahili mnapenda kufight !!
Umeona eehKuna watu wamejaliwa mdomo bwana
mmmh !! upapaswa inawezekana njia mbadala !hahahah au ulitegemea nitegeshe uso vizuri nizabuliwe?
Muhuwa nampigia dudu tu.....Unajisikiaje unapompiga mke wako, mama wa watoto wako na watoto wanakuona? Bila haya na usiku unaomba match.
Karibuni

tuishi nao kwa akiliKuna watu wamejaliwa mdomo bwana
Shukuru MunguDuuuu basi sijawahi kukutana na wakorofi ......
Kukishakuwa na hasira hata utumie mashine gani, mwili hausisimkiAwee labda nisiwe najua udhaifu wako uko wap pale unapoguswaga.
Na vile tayari ni mume lazima nitakuwa naijua.![]()
Basi mwanamke anakuwa hajachukia. Hivi unajua lady akishakuwa na hasira, ukimgusa sehemu zimpazo raha hasira ndo huongezeka! Yaani mikono yako yenyewe hugeuka kuwa kero kweli kweliAwap ntatalii mpaka utashangaa

Basi mwanamke anakuwa hajachukia. Hivi unajua lady akishakuwa na hasira, ukimgusa sehemu zimpazo raha hasira ndo huongezeka! Yaani mikono yako yenyewe hugeuka kuwa kero kweli kweli
Ila nyie hamshindwi. Mkiamua!! Kuna mmoja akasema "nyie dawa yenu ndogo.." (Siendelei kwani kila mmoja na mbinu zake)Sasa hapo si ndo lazima nikupambe na vimaneno vitukufu
Mama yoyo
Yaani katika hilo ntatumia akili tu kama tulivoagizwa.
Hahaha basi tunyamaze hapa.Ila nyie hamshindwi. Mkiamua!! Kuna mmoja akasema "nyie dawa yenu ndogo.." (Siendelei kwani kila mmoja na mbinu zake)

Hahaha basi tunyamaze hapa.
Ila usiitumie hiyo dawa banah usije niua bure![]()
kumbe muoga wa dawa. Ni maneno mazuri na si dawa ya kumeza.Wewe una uzoefu wa ndoa. NimekukubaliTukiweka katika asilimia kuhusu kupigwa wake
30% Ulevi wa mume
60% Maneno yanayokera kutoka kwa wake
5% Mwanamke kuchepuka
5% sababu nyinginezo