Wale wanaume mnaopiga wake zenu

Wale wanaume mnaopiga wake zenu

Hahahahaha. Wewe ni miongoni mwa watu wanaonipa Furaha huku duniani.
Vile unajua kujihami tuu Mimi hoi.
Nakupenda sana baba p.
.
.
Shunie amekuita mahali tangu Jana mbona hauendi?
Wapi tena. Labda sijapata notification.

Cc Shunie
 
Mjomba Fujo hii ya ulevi inakera, unakuta kodi ya nyumba haijalipwa mke ametoka kumbe mbele za baba mwenye nyumba alafu jitu linarudi limelewa
 
Wewe wajua hvyo
Wanaume hizo adhabu wao hawana mda nazo hasira zikishakaba ngumi Tu tunapigwa
Geni ni kweli wanatupiga lkn chuki inayotengenezwa hapo km sio ndoa kuvunjika basi mtaishi km maadui without love at all
 
Kwa wengine kupiga ni tendo lisilo la hiari linakuja tu.....


Unajikuta kofi limeshakuponyoka. Kinachofuata nakufanyia mazuri zaidi bila kukuambia nakuomba msamaha.
Jitahidi kuzuia

Tuna visasi mno usoni mnajua tumesamehe lkn moyoni ni chuki kali mno
 
Kwa wengine kupiga ni tendo lisilo la hiari linakuja tu.....


Unajikuta kofi limeshakuponyoka. Kinachofuata nakufanyia mazuri zaidi bila kukuambia nakuomba msamaha.
Yah wanaume wanaoomba msamaha ni wachache sana
 
Back
Top Bottom