Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,165
AiseeMambo ya kizamani hayo.
AiseeMambo ya kizamani hayo.
Hayajakukuta tu Sasa ngoja ukutane na meseji kwenye simu ya mkeo amemuandikia mchepuko wake"baby matako yananiuma umef****ra Sana leo "hapo ndKabisa mkuu, mie mke wangu sintokuja kumpiga hata siku moja.
Nasikia wanawake wa Musoma hawaoni raha bila kupigwa na waume zao. Yaani akipigwa ndiyo anaamini anapendwa! Yaani akipigwa siku hiyo ndio anatoa penzi hasa.Unajisikiaje unapompiga mke wako, mama wa watoto wako na watoto wanakuona? Bila haya na usiku unaomba match.
Karibuni
Dah ...Labda haujawahi kuwaudhi...labda unawaudhi wanakupotezea tu...labda 🙂Sijawahi kupigwa na wazazi wangu wala mume wangu
Dah...kupigwa kwa mwanamke siyo lazima iwe kimwili...hata kumgonga beki3 au best yake nayo ni vipigo vitakatifu tu...🙂Mwanamke aliyekamilika hawezi kupigwa na mume wake kamwe.....
Mwanamke aliyekamilika kila idara hawezi kuruhusu wewe ule bekitatu,utapewa full dose mpk utasahau uwepo wa bekitatuDah...kupigwa kwa mwanamke siyo lazima iwe kimwili...hata kumgonga beki3 au best yake nayo ni vipigo vitakatifu tu...🙂
Hayajakukuta tu Sasa ngoja ukutane na meseji kwenye simu ya mkeo amemuandikia mchepuko wake"baby matako yananiuma umef****ra Sana leo "hapo nd
ndo utaelewa vizuri
"
aUna acha kula kesho hatarudia
sasa kumnyima unyumba mume ndio kumkomoa au?Huyu mnyime unyumba hata wiki moja akili zimkae sawa
Ni rahisi sana ku deal na frastruation za mtoto kuliko za mwanamke mtu mzima kwakuwa sio rahisi kwa mtoto mdogo kujibizana na wewe. ukichunguza 9/10 ya sababu zinazopelekea kipigo kwa mwanamke ni kidomo domo tu. Mwanamke ambae hujishusha ama kukaa kimya endapo amekuudhi na umepata hasira mara zote huwa hapigwi labda kimya kiwe cha kiburi.Kupigana(kumpiga mwanamke)huwa ni kitendo kidogo sana cha kupishana kauli tu na kushindwa kudhibiti hasira,wanawake huwa tunawachukulia kama watoto hayupo mwanaume anayeweza kujibizana na mtoto na tunapowapiga siyo kwamba hatuwapendi bali nikuonyana tu kwa vitendo kwangu mm ni hivyo wengine wataongezea
Hupendi huo ujinga wa kupigwa ila ujinga wa kumtolea mineno ya shombo ndio unataka yeye aupende?Mi mwanaume akisema anipige anakosea maana ananifanya niwe mkorofi nanikishikwa hasira natumia silaha yoyote au tuachane tu mi cwezi huo ujinga
Aisee una anger control ya kiwango cha lami, subiria kuitwa mngese next time. Hapo ndipo utapojua kuwa kisago kinawezekanaJuzi tumepishana Kauli ndani...Sasa nikamwambia ntakupiga ujue, eti akanijibu "unipige au tupigane?"
Hahahaa nikabeba shati langu begani Chukua malapa nduki mtaani kuzurula.
ila mwanamke kukutolea mineno ya kukera japo umemkalia kimya na chokochoko za kukufukunyua hasira zako tu ndio ujanja?Kumpiga mwanamke ni ushamba, ulimbukeni na uswahili uliotukuka.
Mi ukizingua af unaleta ujuaji nakupasua mikofi halafu freshi tu, utaipenda ila sintokupiga bila kosa.Mi mwanaume akisema anipige anakosea maana ananifanya niwe mkorofi nanikishikwa hasira natumia silaha yoyote au tuachane tu mi cwezi huo ujinga
Oa kwanza halafu ndio utaelewa, kuna kipindi nilihisi mshua anamuonea maza kumshtua na kelebu!mtu niliyempenda kindakindaki siwenzi mpiga japo wote tunakosea, lkn nitamuelimisha na kumkanya japo wapo wanawake wanakera lkn wao pia wanavumilia mapungufu yetu .mapenzi hayajengwi kwa makofi na ngumi bali kwa upendo,furaha,kujaliana na kuaminiana.
Jaribu kuwa bickering all the time halafu utupe mrejesho, asipokupiga basi ujue anapasha kiporo somewhere.Sijawahi kupigwa na wazazi wangu wala mume wangu
we msenge kweli roho mbaya *****, ila madhara ya hio adhabu yatakutesa mpaka ukome akisema akulipizieDah...kupigwa kwa mwanamke siyo lazima iwe kimwili...hata kumgonga beki3 au best yake nayo ni vipigo vitakatifu tu...🙂