Wale wanaume mnaopiga wake zenu

Wale wanaume mnaopiga wake zenu

Unajisikiaje unapompiga mke wako, mama wa watoto wako na watoto wanakuona? Bila haya na usiku unaomba match.

Karibuni
Kama una jeuri ya kunijibu hovyo mbele ya watoto ata mie kukulamba makofi mbele ya watoto ni sawa tuu!
 
Ni sawa na kumchapa ng'ombe unayemkamua maziwa ukiona anakosea njia haina tatizo kbs
Kwanini umuadhifu binadamu mwenzio kwa Kigezo cha kumfananisha na ng'ombe na Unajua hakuna mkamilifu,, na Wewe ukikosea ufanyanywaje?
 
Kwa wengine kupiga ni tendo lisilo la hiari linakuja tu.....


Unajikuta kofi limeshakuponyoka. Kinachofuata nakufanyia mazuri zaidi bila kukuambia nakuomba msamaha.
Mnatukosea sana Daby! Usifanye hivo hata siku moja.
 
Wot did u do?!


Husikii raha mpnz wako akija kukuomba msamaha?!
Unajua Wivu na gubu Yale Mahusiano ambayo yanakuwazisha kila saa auto ndo sababu kubwa,
Sitataka hata kuona sura yako hata kama ni dangote, mzee wangu enyewe hajawahi rusha hata kibao cha utani,, sembuse unknown wooii
 
Ukoloni umetuharibu kiasi kwamba bila kupigwa maisha hayaendi.

Demu wangu alikuwa na mdomo sana hasa baada ya kumwambia mimi siwezi mpiga mwana mke.

Sasa usiku mmoja kaanza kuniletea maneno ya shombo, nilikasirika sana. Huku akijua hasira zangu zipo juu bado akaendelea kunikwaza.

Aisee nilimchapa mabao mawili. Nilijua atatulia, lkn akaniuliza sasa ndo umefanyaje? Ilibidi nimrukie nilimpa kipigo takatifu, alichezea mikanda na mabaobya uso .

Alipiga kelele lkn siku jali, nilimpa kipigo mpk nikasema hii yatosha.

Nikamweleza, nitakupiga sana tu, vinginenyo uniache. Tangu siku hiyo hakuwahi pandisha mdomo tena.

Amekuwa na adabu, na mara nyingi akikosea huwahi kunieleza mapema akihofia kichapo.

Nimegundua kwamba, kuna wanawake ili awe na adabu na nidham lzm kipigo kihusike. Ni wanawake wachache sana ambao wanaweza kujicontrol.

Wanawake wenye maneno makali, eidha upige sana, uachane nae ukubaliane na matusi yake. Vinginevyo hawabadiliki.

Hivyo naunga mkono hoja ya kupiga wanawake uchwara.
 
Unajua Wivu na gubu Yale Mahusiano ambayo yanakuwazisha kila saa auto ndo sababu kubwa,
Sitataka hata kuona sura yako hata kama ni dangote, mzee wangu enyewe hajawahi rusha hata kibao cha utani,, sembuse unknown wooii

Wanawake mara nyingi maneno ndio huwa yanawaponza.

Mimi sina wivu wa kuanza kupigana ila kuna maudhi mengine mtu unamwambia haelewi halafu anakujibu hovyo hapo lazima uchezee kipigo

Tatizo ww ulifanya kosa ukapigwa ukajiangalia kwny kioo ukasema yani msambwanda wote huu na makofi nimekula ...halaf jamaa nae aliamua kutoendelea tu lkn mwanamke ukimtandika vzr halafu ukamuomba msamaha huwa anafurahi sana
 
Kuna jamaa mmoja na mke wake kila siku ugomvi.na ugomvi wao ni usiku kuanzia saa4 usiku yaani wanatwangana na matusi machafu juu.wana watoto kati ya miaka 4 na 6 basi wazazi wao wakianza kupasuana wao wanashangilia tu *lichupi la mama limevuka huku vinacheka*yaani hii familia ni shida
Uongo huo
 
Wanawake mara nyingi maneno ndio huwa yanawaponza.

Mimi sina wivu wa kuanza kupigana ila kuna maudhi mengine mtu unamwambia haelewi halafu anakujibu hovyo hapo lazima uchezee kipigo

Tatizo ww ulifanya kosa ukapigwa ukajiangalia kwny kioo ukasema yani msambwanda wote huu na makofi nimekula ...halaf jamaa nae aliamua kutoendelea tu lkn mwanamke ukimtandika vzr halafu ukamuomba msamaha huwa anafurahi sana
hata sio kipigo kiivo lakini kwanini unipige??? Nliwaza mbalii tuu Mahusiano tuu mtu kapagawa Ukiwa mke sindo atakupiga vizuri,,
Mahusiano hayaku work out from there,,
 
hata sio kipigo kiivo lakini kwanini unipige??? Nliwaza mbalii tuu Mahusiano tuu mtu kapagawa Ukiwa mke sindo atakupiga vizuri,,
Mahusiano hayaku work out from there,,
Then hukumpenda n m sure kuna maneno ulisema sio wivu tu.

Unadhani kama mtu hajakupiga kwny mahusiano akikuoa ndio hatokupiga?!wengi wanapigwa kwny ndoa
 
Geni ni kweli wanatupiga lkn chuki inayotengenezwa hapo km sio ndoa kuvunjika basi mtaishi km maadui without love at all
Nyie mna huruma na Moyo Wa kusahau
Kumbuka sisi ni watoto wenu wakubwa.
 
Ila mambo ya kupigana mimi hapana kwakweli....niliwahi kua kwenye mahusiano aiseee nilikua naalama za mikanda mapajani nikafikiria yote ya nn haya nikajiengua
 
Unajisikiaje unapompiga mke wako, mama wa watoto wako na watoto wanakuona? Bila haya na usiku unaomba match.

Karibuni
Kiukweli sio jambo zuri! Ila kuna baadhi ya makabila ukimpinga nd anazidisha upendo

😀ont folo folo me wizout ene bikoz:
 
Back
Top Bottom