Wale wanaume mnaopiga wake zenu

Wale wanaume mnaopiga wake zenu

we ****** kweli roho mbaya *****, ila madhara ya hio adhabu yatakutesa mpaka ukome akisema akulipizie
Dah...ukweli mchungu....tukubali tukatae...lakini ......kuna kut ia ...na kut iwa...ni vitu viwili tofauti🙂
 
Mi hata ukinitanua miguu nikiamua kuibana k haingiz dudu hata kidogo ..... hahahaha apambane na ubondia wake
Awee labda nisiwe najua udhaifu wako uko wap pale unapoguswaga.

Na vile tayari ni mume lazima nitakuwa naijua.
 
Wangu kila ukimueleza jambo alikua analirudia kipindi kifupi mfano nlikua namuambia awe anam care mtoto lakin yy n kuchat tu unakuta mtoto kaenda mtaa wa pili huko ila wife hajali,katoto kakirudi huko kamechafuka hatari,mwe kuna siku ikabidi nimchape kidogo makonde, hadi leo amekua msikivu sana
 
Back
Top Bottom