Ehudyyy.....
Member
- Sep 25, 2015
- 55
- 5
Una apply TCU kwanza hapo kwe profile yako ya TCU angalia items za upande wa kushoto na uandaae elfu 30 ndo gharama
Kwa Hiyo Inabidi Niende Hata Kesho Kaka?...Je Sipitii Chuo Nilichochaguliwa?...Ukinipa Namba Yako Ya Simu Ntashukuru Zaidi
Vp kubadili facult ambayo haina mkopo kwenda ynye mkopo bro
Vp kubadili facult ambayo haina mkopo kwenda ynye mkopo bro
Vile vile mda wa registration ukishaisha,kunaweza kuwa na empty slots katika programme husika za vyuo flani hivyo unatakiwa ukaulizie kama kuna nafasi katika vyuo ivyo na mda wa trasfer ukifika TCU wenyewe watatoa tangazo na utadownload special form na kuijaza bureee then utaskani na kuwatumia tena kwa email yao,ikiwa transfer yako imefanikiwa utatakiwa ulipe about 30000/= kama sikosei....then utaratibu mwingine utafuata..
NB; lazima ukareport kwanza chuo ulichopangiwa
HOPE UTAKUA UMENIELEWA KIDOGO MKUU AU VP!!??
Hii ni sample ila ni ya last year(2014).........
vp kubadili facult ambayo haina mkopo kwenda ynye mkopo bro
asante kaka.sasa utakareport chuo ulichopangiwa si lazima ulipie malipo yanayohitajika?
mimi mwenyewe dogo hana aman kazima hadi simu kafaulu vizur lakin hadi sasa hakuna kipya
ofcourse lazima ulipie kwasababu kuna two things involved kwamba unaweza kubaliwa au trasfer ikakataliwa hivyo kama ujareport katika chuo husika unaweza kuta nafasi yako ishakuareplaced ikawa shida tena..........so ni muhimu ukakamilisha process zote za registration including all necessary payments.......
Nadhani umenipata...
dah kaka hyo ela ya kuanzia tu ya hpo st joseph kuipata ni shida...au transfer ikikubaliwa na ada pia inahamia chuo utakachohamia?
Ni miujuza isiyowezekana
Fanya ivyo na mjurishe na mwenzako kama uko selected itakuonesha kama bado jaza upya unfilled slots........
have a nice go guys...
na maeneo wanakouza bunduki kama smg jv g3 plz
kwa nilivowaelewa pale mfano kama 1st choice yako ilikua UDSM BaeD na wakakuchagua hapo ,it means zile choices zingne hukupata kwa7bu yalikuwa ni machaguo yako ambayo yalikuwa lowest priority kwako means uliyaweka in lower consideration ndo maana hukuchaguliwa...ila wengne waliokosa vyuo ambavyo walichagua kama upper choices badala yake wakapata lower institution of their choices utakuta wanaandikiwa kuwa wamekosa due to compitition ,nadhani umenipata.mdogo wang nimemchekia profile yake nikaingia katika programme rejection reason,katika vyuo vinne vyote ameandikiwa sababu moja na sababu yenyewe sijaielewa tuuu naomba unieleweshe,yy alipata Udsm lakin first round,sababu yenyew: selected in lowest available priority programme,kwamba hii moja aliyochaguliwa amechaguliwa sbb ya ushindan mdogo,hivy vyuo vyengin prog alizochagua,ushindan ulikuwa mkubwa..sijaelewa
Asante sana unaenda kwenye chuo husika unachotaka kuhamia unaomba nafasi km ipo mambo fresh unaenda TCU unawaambia wao hawana shida wata Ku allocate.....