Wale TCU 2nd round, tembelea profile yako sasa hivi

Wale TCU 2nd round, tembelea profile yako sasa hivi

P9q56mVoloGeAAAAABJRU5ErkJggg==


Mimi nilikuwa namtazamia mtoto wangu kwenye profile yake nimekaribishwa na hiyo message. Tumeshachoka mpaka sasa kama wazazi. Tunampa moyo mtoto inafika mahali mpaka unashindwa cha kumwambia.

P9q56mVoloGeAAAAABJRU5ErkJggg==
 
mimi mwenyewe dogo hana aman kazima hadi simu kafaulu vizur lakin hadi sasa hakuna kipya
 
Asante sana unaenda kwenye chuo husika unachotaka kuhamia unaomba nafasi km ipo mambo fresh unaenda TCU unawaambia wao hawana shida wata Ku allocate.....
 
Me nikiwa nalogin inanambia the index number is wrong... Tatizo ni nini hapo akati index number niliyotumia ni ya kwel. Help please
 
Kaka Naomba Unijuze Kuhusu Utaratibu Wa Kuhama Chuo

Vile vile mda wa registration ukishaisha,kunaweza kuwa na empty slots katika programme husika za vyuo flani hivyo unatakiwa ukaulizie kama kuna nafasi katika vyuo ivyo na mda wa trasfer ukifika TCU wenyewe watatoa tangazo na utadownload special form na kuijaza bureee then utaskani na kuwatumia tena kwa email yao,ikiwa transfer yako imefanikiwa utatakiwa ulipe about 30000/= kama sikosei....then utaratibu mwingine utafuata..
NB; lazima ukareport kwanza chuo ulichopangiwa

HOPE UTAKUA UMENIELEWA KIDOGO MKUU AU VP!!??

Hii ni sample ila ni ya last year(2014).........
 
Km unaona data base error prfle yko ilikua ina import matokeo yko ya o lvl na advnce..nw utayaona kwny prfle yko nd 3rd round inakuhusu mama
 
Back
Top Bottom