Wale TCU 2nd round, tembelea profile yako sasa hivi

Wale TCU 2nd round, tembelea profile yako sasa hivi

My young bro kachaguliwa na TCU scholarship mozambique sasa sie tunataka abaki hapa hapa so tunafanyaje



Huyo anapaswa aende physically TCU ili apewe nafasi ya Ku apply 3rd round Maana kesi yake ni tofuti na kuhama vyuo vya hapahapa..nadhan unajua office zilipo ufanye haraka
 
Huyo anapaswa aende physically TCU ili apewe nafasi ya Ku apply 3rd round Maana kesi yake ni tofuti na kuhama vyuo vya hapahapa..nadhan unajua office zilipo ufanye haraka

transfer zinafanyika online ndio tcu walivyoandika kwa waliokuwa confirmed admitted, na itakuwa inafanyika kulingana na available slots online, itakuwa ni 1st come 1st, kwenda physically huenda wakazingua sana manake mwaka jana walipata usumbufu sana
 
transfer zinafanyika online ndio tcu walivyoandika kwa waliokuwa confirmed admitted, na itakuwa inafanyika kulingana na available slots online, itakuwa ni 1st come 1st, kwenda physically huenda wakazingua sana manake mwaka jana walipata usumbufu sana


Hiyo ya scholarship ina complication.kabla haja bett elfu 30 yake aende TCU kwanza
 
transfer zinafanyika online ndio tcu walivyoandika kwa waliokuwa confirmed admitted, na itakuwa inafanyika kulingana na available slots online, itakuwa ni 1st come 1st, kwenda physically huenda wakazingua sana manake mwaka jana walipata usumbufu sana

Mkuu Je vip kuhusu sisi wa 2nd round transfer inakuaje?...sasa kama itafanyika 1st come 1st served hadi tuwe addmitted na chuo si tutakuta hzo slots za kozi tunazozikusudia zitakua zmeshajaa?.,msaada tafadhali
 
Mkuu Je vip kuhusu sisi wa 2nd round transfer inakuaje?...sasa kama itafanyika 1st come 1st served hadi tuwe addmitted na chuo si tutakuta hzo slots za kozi tunazozikusudia zitakua zmeshajaa?.,msaada tafadhali

itafunguliwa baada ya selection kukamilika mpaka wa round zote waishe manake ata kwa waliopata 1st hawawez kufanya transfer kwa sasa iko blockade, nadhan mpaka zikamilike ndo ile link itakuwa accessable
 
wakuu humu jamvn mm nliomba 2round UDSM na ST.JOSE lakn ST.JOSEPH nackia wao wameshawapa walioomba hapo km kuna alyepata au waliopata 2round UDSM anjuze maana nam dall znaonesha nmepata UDSM lakini university hawajapeleka feedback TCU,, nadhan ndo knachopelekea naambiwa nsubr kdgo kwenye profile yangu watanpa jbu DEGREE nliyopata,,,,,,nahtaj kujua km peke yangu au wengne wapoooo km mm
 
wakuu humu jamvn mm nliomba 2round UDSM na ST.JOSE lakn ST.JOSEPH nackia wao wameshawapa walioomba hapo km kuna alyepata au waliopata 2round UDSM anjuze maana nam dall znaonesha nmepata UDSM lakini university hawajapeleka feedback TCU,, nadhan ndo knachopelekea naambiwa nsubr kdgo kwenye profile yangu watanpa jbu DEGREE nliyopata,,,,,,nahtaj kujua km peke yangu au wengne wapoooo km mm

Tupo wengi mkuu!! usijari saaaana!!!!
 
tcu wakiwaletea post hao wadau wa udsm wa 2round kwenye profile zao nijuzen na mm il nam nchek kwenye profile yangu 0657 550354
 
Jamani nauliza kwa wale wa 2nd round kama kuna ambao wamekwisha admitted kwenye vyuo walivyopangiwa maana wengine kila tuki-login tunakutana na provisional selection tu.tujulishane jamani maana stress zinatuua.
 
Jamani nauliza kwa wale wa 2nd round kama kuna ambao wamekwisha admitted kwenye vyuo walivyopangiwa maana wengine kila tuki-login tunakutana na provisional selection tu.tujulishane jamani maana stress zinatuua.

Apo umenena mkuu naomba tujuzane kwa ilo tafadhali...............
 
Mkuu Je vip kuhusu sisi wa 2nd round transfer inakuaje?...sasa kama itafanyika 1st come 1st served hadi tuwe addmitted na chuo si tutakuta hzo slots za kozi tunazozikusudia zitakua zmeshajaa?.,msaada tafadhali

Mkuu naomba nikujuze ki2 kimoja abt transfer,ili ukikutana nacho kickuongezee stress

Ukifanya transfer mambo ya mkopo lazma yakuznguwe, alaf kunaconcept moja hv huwa ipo complicated kinouma nouma,

Inasema hv, kama utakuwa allocated chuo fulan bac na mkopo wako utapelekwa huko, ikitokea umeahirisha mwaka lazma uwalipe robo ya ile first quarter (boom la kwanza) kwa mwaka jana walipewa 673,125 so ipige mara 25% ndicho utakachorudisha, hapo haijalishi ulipokea au hukuipokea lazma ulipe ndo habar ya kupata tena mkopo ije, vinginevyo labda ucombe HESLB

concept ya pili ni hii, ukihama yan transfer toka chuo hichi kwenda kingine pia utalipia hyo robo ya first quarter ndipo upate mkopo huko ulipo/ulipoenda, means inakuwa kama unaomba tena thus y wa2 wengi huwa wanasema utapata ukiwa mwaka wa pili

Hii niliona nikiwa pale HESLB mwenyewe, kuna bint mmoja ndio alikuwa anachukua namba za accaunt ya benk ya HESLB ili akalipe ndio apate nafasi/kigezo cha kuendelea kupata mkopo

Samahani kwa maelezo marefu,
Na mwenye uwelewa wa ziada/chaziada kuongezea hapo na aongeze watu wafahamu wanachokfanya

Nawasilishaa ......
 
kuna dogo hapa nimemuangalizia amewekewa mfano NIT wamemuwekea capacity 34 kwenye kozi yake ,sasa cjajua wanamaana gan ,na kwann capacity zngne ni 0 and why hakuna option ya kufanya reapplication na kwann hawajatoa deadlne ya 3rd reapplictn??

Capacity 0 inamaana chuo hicho kimeshajaa
 
Hakuna kilichobadika kwenye profile yangu mbn ..vp mbn hatuelewi wengne

Kama kwenye profile yako kuna neno update au kuna mahala ulipaswa ku upload file na file halikawa uploaded bass kuwa selected kwako ni ngum sana
 
Mkuu naomba nikujuze ki2 kimoja abt transfer,ili ukikutana nacho kickuongezee stress

Ukifanya transfer mambo ya mkopo lazma yakuznguwe, alaf kunaconcept moja hv huwa ipo complicated kinouma nouma,

Inasema hv, kama utakuwa allocated chuo fulan bac na mkopo wako utapelekwa huko, ikitokea umeahirisha mwaka lazma uwalipe robo ya ile first quarter (boom la kwanza) kwa mwaka jana walipewa 673,125 so ipige mara 25% ndicho utakachorudisha, hapo haijalishi ulipokea au hukuipokea lazma ulipe ndo habar ya kupata tena mkopo ije, vinginevyo labda ucombe HESLB

concept ya pili ni hii, ukihama yan transfer toka chuo hichi kwenda kingine pia utalipia hyo robo ya first quarter ndipo upate mkopo huko ulipo/ulipoenda, means inakuwa kama unaomba tena thus y wa2 wengi huwa wanasema utapata ukiwa mwaka wa pili

Hii niliona nikiwa pale HESLB mwenyewe, kuna bint mmoja ndio alikuwa anachukua namba za accaunt ya benk ya HESLB ili akalipe ndio apate nafasi/kigezo cha kuendelea kupata mkopo

Samahani kwa maelezo marefu,
Na mwenye uwelewa wa ziada/chaziada kuongezea hapo na aongeze watu wafahamu wanachokfanya

Nawasilishaa ......


thanks kwa kutujuza mkuu.........:fencing:
 
Kama kwenye profile yako kuna neno update au kuna mahala ulipaswa ku upload file na file halikawa uploaded bass kuwa selected kwako ni ngum sana

mkuu apo sijakuelewa vizuri........ku upload file!

naomba tuelekeze vizur mkuu mbona mimi uku kwangu sijaiona na ni wa 2nd au iyo inawausu watu gani!??:doh:
 
Mkuu naomba nikujuze ki2 kimoja abt transfer,ili ukikutana nacho kickuongezee stress

Ukifanya transfer mambo ya mkopo lazma yakuznguwe, alaf kunaconcept moja hv huwa ipo complicated kinouma nouma,

Inasema hv, kama utakuwa allocated chuo fulan bac na mkopo wako utapelekwa huko, ikitokea umeahirisha mwaka lazma uwalipe robo ya ile first quarter (boom la kwanza) kwa mwaka jana walipewa 673,125 so ipige mara 25% ndicho utakachorudisha, hapo haijalishi ulipokea au hukuipokea lazma ulipe ndo habar ya kupata tena mkopo ije, vinginevyo labda ucombe HESLB

concept ya pili ni hii, ukihama yan transfer toka chuo hichi kwenda kingine pia utalipia hyo robo ya first quarter ndipo upate mkopo huko ulipo/ulipoenda, means inakuwa kama unaomba tena thus y wa2 wengi huwa wanasema utapata ukiwa mwaka wa pili

Hii niliona nikiwa pale HESLB mwenyewe, kuna bint mmoja ndio alikuwa anachukua namba za accaunt ya benk ya HESLB ili akalipe ndio apate nafasi/kigezo cha kuendelea kupata mkopo

Samahani kwa maelezo marefu,
Na mwenye uwelewa wa ziada/chaziada kuongezea hapo na aongeze watu wafahamu wanachokfanya

Nawasilishaa ......
25% huwa unatakiwa kuirudisha kama tu ulisain form za kupokea mkopo zinazokuja chuon, kama hukufanya ivo unatakiwa kutoa taarifa heslb kwamba hujareport chuo ila ule mkopo hautakusubir anapewa mtu mwingine, utakapoomba tena watakufikiria na lazima wataona ulishapata kabla so inakuwa risk kidogo kuna wanaopata bila usumbufu, heslb wanasema wataangalia vitu kadhaa kwako, kama hauna wazaz na coz uliyochaguliwa, unafanya transfer system iko tofaut kidogo tangu mwaka jana, tcu wanapeleka jina la transfer yako heslb, upatikanaj wake utategemea ufatiliaj wa kiongoz wa mikopo na kama chuo cha kwanza kitaurudisha mapema ule mkopo wako heslb, kuna wa transfer waliopata mkopo 1st semister mwaka jana bugando ila wengine ilichelewa sana, hakuna aja ya kulipia 25%, ila mwaka wamesema kitahama kias kile kile hakutakuwa na nyongeya ata kama umehama kutoka chuo cha mil 1-mil 3 ingawa wa M.d huwa wanpewa priority kidogo.
 
25% huwa unatakiwa kuirudisha kama tu ulisain form za kupokea mkopo zinazokuja chuon, kama hukufanya ivo unatakiwa kutoa taarifa heslb kwamba hujareport chuo ila ule mkopo hautakusubir anapewa mtu mwingine, utakapoomba tena watakufikiria na lazima wataona ulishapata kabla so inakuwa risk kidogo kuna wanaopata bila usumbufu, heslb wanasema wataangalia vitu kadhaa kwako, kama hauna wazaz na coz uliyochaguliwa, unafanya transfer system iko tofaut kidogo tangu mwaka jana, tcu wanapeleka jina la transfer yako heslb, upatikanaj wake utategemea ufatiliaj wa kiongoz wa mikopo na kama chuo cha kwanza kitaurudisha mapema ule mkopo wako heslb, kuna wa transfer waliopata mkopo 1st semister mwaka jana bugando ila wengine ilichelewa sana, hakuna aja ya kulipia 25%, ila mwaka wamesema kitahama kias kile kile hakutakuwa na nyongeya ata kama umehama kutoka chuo cha mil 1-mil 3 ingawa wa M.d huwa wanpewa priority kidogo.

thanks mkuu kwa hii info...
 
Back
Top Bottom