Wale mliooa wanawake wanaofanya kazi

Wale mliooa wanawake wanaofanya kazi

Mama kanywe bia kreti mbili kwa mangi, ntalipa....... Eti lijitu lingine linawahi kusema zamu yako kununua chakula humu ndani, msiiiiiiiieeeewww
Mungu anijaalie nisipate mume fafafa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeshaagiza mama...wanajikuta wanajisahau wao ni kina nani ndani ya nyumba..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Baby huoni kama tutachelewa kufanya maendeleo kifamilia, manake kama mi nimekuruhusu ufanye kazi means nimekubali watoto wangu walelewe na beki tatu ili mi na wewe tusaidiane tuinue uchumi wetu kwa haraka siyo?
Baby hivi umesahau kua ulinikuta na kazi yangu...alafu kingine si tulishaongeaga mambo ya maendeleo wewe ndio utakua muhusika mkuu katika utoaji pesa na Mimi niwe mshauri wako tu..wewe si ndie ulienambia pesa yangu ni kwa ajili ya matumizi madogomadogo ya hapa nyumbani? Usinambie umesahau baby!!
 
Mwaka wa 10 huu nilimuoa akiwa Mwalimu mwenye diploma! Nilimjengea misingi bora ya maisha ya ndoa na nilipomuona anaelekea vyema nikamwambia kwangu ujinga noo!! nikamuendeleza mpaka kuwa na masters!

Sasa hivi ni afisaa mkubwa sana mahali, mshahara mkubwa na marupurupu mengi. Hajawahi kuleta tabu kabisa

Sijawahi kujuta, tupo happy chake changu na changu chake! Tunakaa pamoja na kujenga maisha kwa pamoja na familia yetu!!

Kikubwa ni misingi ya ndoa mwanaume unayoweka unapoanza mahusiano! Ukijifanya provider ndo vile tena.
 
Jiajiri kwanza kwa ushauri wangu... Wanawake huchoka haraka kuhudumia kuliko wanaume
Ni kweli kabisa. Tunachoka haraka na kukinai kabisa kuhudumia hasa ikiwa ni kwa muda mrefu.
 
Baby hivi umesahau kua ulinikuta na kazi yangu...alafu kingine si tulishaongeaga mambo ya maendeleo wewe ndio utakua muhusika mkuu katika utoaji pesa na Mimi niwe mshauri wako tu..wewe si ndie ulienambia pesa yangu ni kwa ajili ya matumizi madogomadogo ya hapa nyumbani? Usinambie umesahau baby!!
Mambo madogo madogo kama yapi sasa, maake ulinisadia mwanzoni tu pindi nakubembeleza kukuoa, lakin siku hizi nakomaa mwenyewe kila kitu kinachoonekana ndani, natembea bila hata elfu 10000 ya dharula mfukoni, na samtaymz najikuta naongea peke yangu njiani kwan haulioni hilo.
 
Umemruhusu afanye kazi ulimkuta bila kazi??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kuwa watoto wangu hawapati haki ya kulelewa na wewe muda mwingi, huoni kuwa unanisababisha nimjali zaidi bekitatu kuliko wewe kwa kuwa ndiye anayecare watoto wangu siku nzima.
 
Kusaidiana katika maisha ya ndoa ni kuzuri sana. Shida inakuja pale ambapo mwanaume anapigia hesabu kipato cha mkewe na chake hakiweki wazi shida inaanzia hapo.

Hakuna anayetaka shida katika maisha, ila wanaume wa kizazi hiki wanaoa wanawake wenye kazi ili kukwepa majukumu ya familia zako. Hata maneno ya Mungu anasema kuwa Mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu.
 
Bora wewe, kiasi kikubwa cha matumizi yake anajitegemea mwenyewe. Kuna jamaa yangu, mke anachukua 20,000 daily kwa ajili ya kula na mafuta ya gari. Saloon anaomba hela na mshahara wake huwa haujulikani unafanya kitu gani. Akiulizwa ugomvi wa kufa mtu
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️
 
Kanuni mama inasema Mwanaume umtunze mkeo. Ukikiuka hiyo kwa kutegemea mke nae awe mchangiaji utakuwa umekiuka misingi ya ndoa tena katika dini zote. Mke kutoa ni hiyari yake ila mume ni wajibu kuhudumia familia
 
Lakini mtu ye yote asiyewatunza wa walio wake, yaani, wale wa wanyumbani mwake hasa,ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini .1Timotheo 5: 8. Hivyo jukumu la kuhudumia familia ni la mme siyo mke. Mke ni msaidizi tu.
 
Mama kanywe bia kreti mbili kwa mangi, ntalipa....... Eti lijitu lingine linawahi kusema zamu yako kununua chakula humu ndani, msiiiiiiiieeeewww
Mungu anijaalie nisipate mume fafafa
Huyo fafafa ndo utakaye jaaliwa na Mungu. wanawake mkiwa nyuma ya keyboard mna mipasho ya maudhi mnoo. Mnasahau pia mnataka 50/50
 
Kusaidiana katika maisha ya ndoa ni kuzuri sana. Shida inakuja pale ambapo mwanaume anapigia hesabu kipato cha mkewe na chake hakiweki wazi shida inaanzia hapo.

Hakuna anayetaka shida katika maisha, ila wanaume wa kizazi hiki wanaoa wanawake wenye kazi ili kukwepa majukumu ya familia zako. Hata maneno ya Mungu anasema kuwa Mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu.
Wanawake wa siku hizi tunazaa kwa uchungu na kula kwa jasho vile vile.....!!!!!
 
My brother is my role mode. Wako na familia ya watoto watatu na wote wameajiriwa. Wana miradi mbali mbali nje ya ajira ambayo wote wanashirikiana kila wanapopata muda na hela ya hiyo mitadi ndio inaendesha familia. Mishahara yao ni kwa ajili ya maendeleo. Mfano wakitaka kujenga banda la kuku bro akinunua mchanga mke atanunua kokoto. Naomba Mungu anijalie nipate mke kama shemeji yangu
Ukikua utabadilisha huu mtazamo hasa pale mambo ya kaka yako yatakapobackfire.

Nakuhakikishia kaka yako bado hajawajua wanawake.
 
Huyo fafafa ndo utakaye jaaliwa na Mungu. wanawake mkiwa nyuma ya keyboard mna mipasho ya maudhi mnoo. Mnasahau pia mnataka 50/50
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mwanaume kutegemea pesa kwa mwanamke Ni aibu mwanaume kamili haombi pesa kwa mwanamke na Wala hauliz pesa ya mshahara wa mwanamke.[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mwanamke hata kama anakipato kikubwa annually kuliko mume hutakiwa kumwambia achangie hata mia maana mbeleni huko italeta shida tu.

Nina mifano hai kama mitano hivi inasikitisha sana.

Kama hauna pesa ndani na mkeo anapesa familia hapo haina pesa na haupaswi kupepesa macho kwa pesa za mkeo amka ukatafute.
 
Back
Top Bottom